Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hao wasagaji wanafanya kipi Cha ziada ambacho mwanaume hawezi Fanya?Haya mambo ya wasagaji yaskie TU
Usiombe mkeo/galfrend wako aingie mikononi mwa msagaji, achomoki[emoji1]
Wqnasugua kisimi kwa vidole muda mrefu ndio maana wamemkata viganjaKwani hao wasagaji wanafanya kipi Cha ziada ambacho mwanaume hawezi Fanya?
Kwa hiyo Picha ya Milembe tu....Nipo hapa kwenye foleni mwanza nimempa lift mwanamke mmoja sasa nasikia anaongelea hayo mauaji kwenye simu. Na siwezi kumuuliza.
Ila kwa anavyoongea inaonekana huyo mwanamke alikua anatongoza wanawake wenzie na anajulikana hadharani. Na inasemekana kauliwa na kukatwa mkono.
Wenye taarifa kamili tujulisheni.
Nawasilisha.
UPDATE
POLISI YATHIBITISHA KUTOKEA KWA MAUAJI
Akizungumzia kuhusu taarifa hizo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amesema “Ni kweli tukio hilo limetokea, marehemu ametambulika kwa jina la Milembe Suleiman alikuwa mfanyakazi wa GGM, kitengo cha Ugavi amekutwa ameuawa katika eneo ambalo anajenga nyumba zake.
Eneo ambapo tukio limetokea linaitwa Mwatulole ambazo zilikuwa katika hatua ya ujenzi, mpaka sasa wameshikiliwa watu wanne na uchunguzi unaendelea.”
Alipotakiwa kuelezea kuhusu uchunguzi wa awali wa tuko hilo amesema “Yaani hatujabaini chochote mpaka sasa, ndio maana uchunguzi unaendelea.”
Pia soma
--
- Mfanyakazi wa kike wa GGM ashikiliwa na Polisi kwa kumvisha Pete Mwanamke mwenzake
- Mwanza: Janeth Shonza & Milembe wafikishwa Mahakamani kwa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja, wakana mashtaka...
View attachment 2600221
Milembe Suleiman enzi za uhai wake
Na muda wa kutype huku Jeiefu mtu anayedraivu inawezekana kweli, kwamba Mwanza Kuna foleni sana pia 😀Sema ukwel ye ndo kakupa lift [emoji81][emoji81],mtu ulie mpa lift huwezi kuogopa kumuuliza lakini aliye kupa uta ogopa kumuuliza
Coca kwenye chupa mpyaIla kwa Gay inawezekana?
DuhWqnasugua kisimi kwa vidole muda mrefu ndio maana wamemkata viganja
USSR
Ana mtoto wa pili since last yearWameachana na bonge ?alimvisha hadi pete na insta walikuwa wanajirusha sana,sasa hivi yupo na nani?na alikuwa anataka kuzaa mtoto Milembe ukisikia kajifungua usishangae maana ana mtoto mmoja tu
Nami najiuliza.. Hivi anafanyiwa nini hadi anakimbia kwa mumewe anapenda kwa tomboy lakeKwani hao wasagaji wanafanya kipi Cha ziada ambacho mwanaume hawezi Fanya?
We unaweza nyonya uke wa mwanamke non stop.Nami najiuliza.. Hivi anafanyiwa nini hadi anakimbia kwa mumewe anapenda kwa tomboy lake
Walipoingia wakimbizi ndio watu wakajifunza kuuwanaIla waTz hizi tabia za kuua uana mmerithi wapi hizi roho? Mtu anaweza kuja kukuua kwa mambo yake personal akakusingizia ushonga/usagaji. Shauri yenu mkijihisi mko salama.
Jina lake ni "Kemilembe", jina lenye maana nzuri tu kwa kihaya.Tatizo ni jina lake "Mirembe". Wazazi wengine sijui huwa Wana visa na watoto wao, inakuwaje mzazi unamuita mwanao majina ya hovyohovyo km huyo mwendazake huko Geita.
Hahaaa 😄😄😄😄,Halafu limekaa kitomboy haswaYule demu cio poa mamaeee ni lisagaji la dunia
Alikuwa haanbiliki ambalo ni tatizo Kwa LGBT na wao wanajisahau kuwa hivi ni vitu vigeni plus stress za wananchi ni rahisi kufanyiwa ukatili