TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Hilo bazazi LIKUD limepigwa ban kaja na ID nyingine kwa aibu kajifanya upuuzi wake ameutoa Insta, walai vichaa wamejaa mitaani wazima ndio wapo hospital,
Libaba kama lile lenye mvi hadi kwapani linajitekenya na kucheka lenyewe kwenye mitandao, lol [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kumbe limekuja kwa mbinu nyingine?

Amekuja na li ID lake la akiba kwa lengo la kuwahadaa watu humu na manadharia yake ya kiganga. [emoji1787]

He pretends to be a SPIRITUAL GURU, but i can tell, he is so DEPRAVED and completely DEVOID OF INTELLIGENCE.

Ganga njaa tu lile TAPELI LIKUD
 
Siku hizi Geita imekuwa kitovu Cha uhalifu wa akila aina, huku Mbunge Joseph Kasheku Musukuma akioongea upuuzi bungeni
Kuna haja ya kumpeleka Kamanda Muliro J Muliro kuwa RPC wa Geita.
Kwani Msukuma ni mbunge wa Geita mjini ? Kanyasu ndiyo Geita mjini
 
Kiukweli mpaka sasa haieleweki kila mtu anasema lake, ngoja uchunguzi wa polisi utatupa majibu tusije itwa kusaidia polisi babe wangu nasikia mbu wa rumande wanang'ata kama vampires
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

All in all watu ni wanafiki vibaya sana.

Unakuta jitu jizi, fisadi, lilawiti na lifiraji lakini linahukumu mwenzake!

Hii nchi ina manyumbu ya kila dizaini. Halafu yanafoka balaa.

Very unconscious and unaware of their own sins and shortcomings. Nafikiri ni aina fulani ya UNCONSCIOUS SELF PROJECTION.
 
Huyu mwanamke kama ni pesa alikuwa nayo haswa, last time nilivyokuwa Geita nilipewa story yake na aliyekuwa Mkuu wa ulinzi GGM (RIP).
Sasa naye ni hela zilimchaganya au Nini nimeona clip anabusiana na wanawake wengine watatu mubashara hata haogopi wakati kibongo hata mwanamke kubusiana na mwanaume hadharani ni msala
 
Hakuna cha majambazi wala nini! Huyu demu alikuwa akisimama na demu mwenzake anamcontain asilimia 100 na lazima amle siku hiyo hiyo..Demu lilikuwa halilazi damu hili. Mwaka 2016 niliwahi kupata story zake yani kipindi hicho alikuwa amewala mademu wengi na wakali kuliko mimi shababi. Kuna mnyarwanda mmoja nilikuwa namnyatia alikuwa na mzigo halafu White siku moja namkuta kwa hili lisagaji kavaa khanga huku lisagaji likiwa limevaa pensi wamekaa wanakula ugali kwa mtindi aiseee huyu demu nilimvulia kofia. Inawezekana kabisa wana waliomuua watakuwa wamechapiwa na tomboy wakaona isiwe kesi! Mwana alikuwa mwingi yani anakupokonya live huku unaona akimpenda tu mtu wako wafwaaa.
Yaani midume iliibiwa warembo na mrembo 🤣🤣🤣🤣 aisee hatari. Ni bilionea huyo marehemu nini
 
Nipo hapa kwenye foleni mwanza nimempa lift mwanamke mmoja sasa nasikia anaongelea hayo mauaji kwenye simu. Na siwezi kumuuliza.

Ila kwa anavyoongea inaonekana huyo mwanamke alikua anatongoza wanawake wenzie na anajulikana hadharani. Na inasemekana kauliwa na kukatwa mkono.

Wenye taarifa kamili tujulisheni.

Nawasilisha.

======

UPDATE;

POLISI YATHIBITISHA KUTOKEA KWA MAUAJI


Akizungumzia kuhusu taarifa hizo, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, ACP Berthaneema Mlay amesema “Ni kweli tukio hilo limetokea, marehemu ametambulika kwa jina la Milembe Suleiman alikuwa mfanyakazi wa GGM, kitengo cha Ugavi amekutwa ameuawa katika eneo ambalo anajenga nyumba zake.

Eneo ambapo tukio limetokea linaitwa Mwatulole ambazo zilikuwa katika hatua ya ujenzi, mpaka sasa wameshikiliwa watu wanne na uchunguzi unaendelea.”

Alipotakiwa kuelezea kuhusu uchunguzi wa awali wa tuko hilo amesema “Yaani hatujabaini chochote mpaka sasa, ndio maana uchunguzi unaendelea.”

Pia soma
--

View attachment 2600221
Milembe Suleiman enzi za uhai wake​
Pole wana familia
 
Sasa naye ni hela zilimchaganya au Nini nimeona clip anabusiana na wanawake wengine watatu mubashara hata haogopi wakati kibongo hata mwanamke kubusiana na mwanaume hadharani ni msala
Kwani si anaishi maisha yake? Amemkosea nani?

Ni bora kuishi maisha yako kwa uhuru na uwazi, kuliko kuishi kwa unafiki na hofu. Hatukuja duniani kufurahisha au kubembeleza watu.

Wengi wenu mkiwa hadharani mnajifanya WATAWA wakati chumbani MNAFIRWA KWERI KWERII mpaka tigo zinaomba poo!

Huyu dada nimempenda sana, she was true to herself, no faking, ni kuishi maisha halisi na ya rahaa.

Huyu ni mbinguni moja kwa moja, amewaachia lidunia lenu la KINAFIKI muendelee KUFIRANA na KUFIRWA huku mnahukumu wenzenu.

Mna MACHO MAKAVU mkiwa mnatoa hukumu uchwara kumbe vyumbani MNAFIRWA VIFIRO NDOIGE.
 
Hakuna cha majambazi wala nini! Huyu demu alikuwa akisimama na demu mwenzake anamcontain asilimia 100 na lazima amle siku hiyo hiyo..Demu lilikuwa halilazi damu hili. Mwaka 2016 niliwahi kupata story zake yani kipindi hicho alikuwa amewala mademu wengi na wakali kuliko mimi shababi. Kuna mnyarwanda mmoja nilikuwa namnyatia alikuwa na mzigo halafu White siku moja namkuta kwa hili lisagaji kavaa khanga huku lisagaji likiwa limevaa pensi wamekaa wanakula ugali kwa mtindi aiseee huyu demu nilimvulia kofia. Inawezekana kabisa wana waliomuua watakuwa wamechapiwa na tomboy wakaona isiwe kesi! Mwana alikuwa mwingi yani anakupokonya live huku unaona akimpenda tu mtu wako wafwaaa.
[emoji28][emoji28]nilijuaga Malaya ni wanaume tu kumbe Hadi lgbt
 
Anashabikia mauaji huyo, halafu huwa anajifanya yuko SPIRITUAL sana.

Mtu gani spiritual anashangilia mauaji?? unajua tunadanganywa sana na hawa wahuni wa mitandaoni!

Usikute kuna majini humu yanalaghai watu kwa kujifanya yanamjua mungu kumbe hewala.

Nimemuona na yule ASKOFU WA UFUFUO NA UZIMA yupo humu anashangilia mauaji.
Hata Mungu aliichoma Sodoma na gomola sababau ya mashoga na usagaji na sisi tunaanza kimyakimya

USSR
 
Mshenzi sana huyo LIKUD, hakuna NATURE inayoruhusu mtu kuua mwenzake kwa msingi wowote ule.

Jambo la uhakika ni kuwa, UKIUA mtu unatengeneza KARMIC CYCLE ambayo itakurudia kwa kasi sana. Hiyo ndiyo TRUE NATURE, na sio huu ulaghai wa LIKUD wa kuchochea mauaji ya watu wasio na hatia.

LIKUD ni tapeli mjanja mjanja, anawadanganya watu eti atawaunganisha kwenye Freemasonry wakati yeye mwenyewe ni choka mbaya anaishi BUGURUNI MALAPA, hana cha ufreemason wala nini!

LIKUD ni TAPELI.
Haiwezekani irudi ni kuyapunguza angalau sasa yaone hatari yajifiche

USSR
 
Back
Top Bottom