cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Basi sawaa.Hakuna kubwa chini ya jua kuliko ushoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawaa.Hakuna kubwa chini ya jua kuliko ushoga
Yule mwanzoni alisema ugomvi kuhusu Mali, mara mwanamke, mwisho anasema eti ushoga khaaah.Ata yule jamaa alimwagiwa tindikali Arusha alikuja na kudai kisa chake ni kwamba alikataa kumpumulia lishoga limoja huko kitaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Geita huko si mchezo,mm mwenyewe ngoma ngumu ila huko napainulia
Mkono
Ova
Huyu anatafuta tu apate makaratasi huko
Inaonekana alikuwa na doh, na wazungu wanavyopenda ayo mambo ndo maana hawakumfuta ata job ,ingekuwa kampuni ya wabongo angeona🔥🔥Nipo hapa kwenye foleni mwanza nimempa lift mwanamke mmoja sasa nasikia anaongelea hayo mauaji kwenye simu. Na siwezi kumuuliza.
Ila kwa anavyoongea inaonekana huyo mwanamke alikua anatongoza wanawake wenzie na anajulikana hadharani. Na inasemekana kauliwa na kukatwa mkono.
Wenye taarifa kamili tujulisheni.
Nawasilisha.
======
UPDATE;
POLISI YATHIBITISHA KUTOKEA KWA MAUAJI
Akizungumzia kuhusu taarifa hizo, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, ACP Berthaneema Mlay amesema “Ni kweli tukio hilo limetokea, marehemu ametambulika kwa jina la Milembe Suleiman alikuwa mfanyakazi wa GGM, kitengo cha Ugavi amekutwa ameuawa katika eneo ambalo anajenga nyumba zake.
Eneo ambapo tukio limetokea linaitwa Mwatulole ambazo zilikuwa katika hatua ya ujenzi, mpaka sasa wameshikiliwa watu wanne na uchunguzi unaendelea.”
Alipotakiwa kuelezea kuhusu uchunguzi wa awali wa tuko hilo amesema “Yaani hatujabaini chochote mpaka sasa, ndio maana uchunguzi unaendelea.”
Pia soma
--
- Mfanyakazi wa kike wa GGM ashikiliwa na Polisi kwa kumvisha Pete Mwanamke mwenzake
- Mwanza: Janeth Shonza & Milembe wafikishwa Mahakamani kwa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja, wakana mashtaka...
View attachment 2600221
Milembe Suleiman enzi za uhai wake
Tabia gan
Geita nlikaa wiki tu na ujanjajanja wangu nkaona huku wataniua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu mbeya utamjua tu,wewe ndie umeleta taarifa zote halafu unajidai eti mwenye taarifa atueleze, unataka tukueleze nini?Nipo hapa kwenye foleni mwanza nimempa lift mwanamke mmoja sasa nasikia anaongelea hayo mauaji kwenye simu. Na siwezi kumuuliza.
Ila kwa anavyoongea inaonekana huyo mwanamke alikua anatongoza wanawake wenzie na anajulikana hadharani. Na inasemekana kauliwa na kukatwa mkono.
Wenye taarifa kamili tujulisheni.
Nawasilisha.
======
UPDATE;
POLISI YATHIBITISHA KUTOKEA KWA MAUAJI
Akizungumzia kuhusu taarifa hizo, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, ACP Berthaneema Mlay amesema “Ni kweli tukio hilo limetokea, marehemu ametambulika kwa jina la Milembe Suleiman alikuwa mfanyakazi wa GGM, kitengo cha Ugavi amekutwa ameuawa katika eneo ambalo anajenga nyumba zake.
Eneo ambapo tukio limetokea linaitwa Mwatulole ambazo zilikuwa katika hatua ya ujenzi, mpaka sasa wameshikiliwa watu wanne na uchunguzi unaendelea.”
Alipotakiwa kuelezea kuhusu uchunguzi wa awali wa tuko hilo amesema “Yaani hatujabaini chochote mpaka sasa, ndio maana uchunguzi unaendelea.”
Pia soma
--
- Mfanyakazi wa kike wa GGM ashikiliwa na Polisi kwa kumvisha Pete Mwanamke mwenzake
- Mwanza: Janeth Shonza & Milembe wafikishwa Mahakamani kwa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja, wakana mashtaka...
View attachment 2600221
Milembe Suleiman enzi za uhai wake
Mkuu hadi akwimbie demu yako inaoneka ulishindwa kumridhisha huyo demu wako, ni kama ulikosa mbinu za kivita.Sijajua ila nilikuwa tulikuwa tunafanya Field huko GGM kipind fulan kuna demu alikuwa msagaji alikuwa Ana hela chafu nakumbuka aliniibia na demu wangu ndyo michezo yake ile kama amekufa nitafurah sana
Picha ya mpalange tafadhaliMimi Niko tayari kupima hata mpalange wangu ni bikra hata kidole kidogo hakipiti
Wanasema jina kamili ni KEMILEMBE hivyo Milembe ni ufupisho tu.Tatizo ni jina lake "Mirembe". Wazazi wengine sijui huwa Wana visa na watoto wao, inakuwaje mzazi unamuita mwanao majina ya hovyohovyo km huyo mwendazake huko Geita.
Njia ya kawaida ya kupata mimba au ya kuzaa?Ana mtoto mkubwa mtu pia alikuwa anataka kuongeza mwingine kwa njia ya kawaida tu sasa wamemuua 🙆🏼♂️Hata kama hakustahili kuuawa
Kawaida tuNjia ya kawaida ya kupata mimba au ya kuzaa?
Yeye kakuuliza njia ya kawaida yakupata mtoto kwa kujamiiana mwanamke na mwanaume. Je, yeye alipata mtoto kwa njia ipi? Alipandikiza mimba?
Kwa hiyo hamtaki tena mashine??Kukojoza wakati wa foreplay tu.....
Yani kipenga kikilia goli nimesoma hapo juu
[emoji23][emoji23][emoji23] watu wachokoziSema ukwel ye ndo kakupa lift [emoji81][emoji81],mtu ulie mpa lift huwezi kuogopa kumuuliza lakini aliye kupa uta ogopa kumuuliza
Acha ufala mwambie Baba yako ndio aache fala weweHii ya kudai ni haki za binadamu msiguswe
Hili ndio lilikuwa swaliNjia ya kawaida ya kupata mimba au ya kuzaa?
Yeye kakuuliza njia ya kawaida yakupata mtoto kwa kujamiiana mwanamke na mwanaume. Je, yeye alipata mtoto kwa njia ipi? Alipandikiza mimba?
[emoji2][emoji2][emoji2]Picha ya mpalange tafadhali
Acha ufala mwambie Baba yako ndio aache fala wewe
Mimi nilielewa hivyo. Amejibu sasa kapata mimba/mtoto njia ya kawaida.Hili ndio lilikuwa swali