Afisa Utumishi Igunga avamiwa, ajeruhiwa kwa panga shingoni

Afisa Utumishi Igunga avamiwa, ajeruhiwa kwa panga shingoni

Wadau hamjamboni nyote?

HR wa Igunga amevamiwa na kukatwa mapanga.

Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika.

Tuungane sote Kwa pamoja kumuombea apate unafuu.

Kutokana na unyeti mkubwa wa kazi yake tunaomba Mamlaka husika ziendeshe uchunguzi mapema.

 
Pole Sana HR Upone Haraka Urejee Kazini.

Tujitahidi Kutenda Haki Tunapopewa Nafasi Yoyote
 
Pale ambapo watu wanalaani tukio,lakini aliyefanyiwa tukio hasemi alicho kifanya hadi kupelekea watu kutaka kumuua.
Hamna mwendawazimu anaweza Stoke tu huko atafute kukuua kama hujamkosea kitu.
 
Tukiwa maofisini tujifunze kutenda na kusimamia haki.
tuache kutembea na wake za watu au mademu wa wenzetu na kuleta jeuri.
Tujiepushe na dhulma kwenye madili tunayofanya na wenzetu.

Wabongo wameamua kumalizana wenyewe kwa wenyewe sasa, tuwe makini kidogo.
 
Mimi jamaa walini time...wakaniwekea maudambwi kwenye kiti...nilikuaga mtumishi mzuri sana....nikajikuta naichukia Kazi...kisha nikasepa.....nikafukuzwa na Kazi. Akili zikaja baada ya 7 years....nikaanza kushangaa how I left the job.

Dah huko ma halmashauri sio poa kabisa!!!


So huyo wa Igunga...huenda ikawa ni wivu, chuki, fitina,

Au mapenzi?

Note:- kwangu ilikua ni kuhudumia watu bure bila kupokea 10% , jamaa wa Idarani wakaanza kumind.

Na pia, nilikua napiga Kazi kwà Bidii sana mpaka weekends....wakuu wa IDARA zote wakawa wananipenda sana mpaka Mkurugenzi. Nikapewa na kiusafiri cha pikipiki...., , Jealous zikazidi. Nikapigwa bonge la juju....daah sio poa yani.
Wewe ulistahili ulichokipata.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom