Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
HR wa Igunga amevamiwa na kukatwa mapanga.
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika.
Tuungane sote Kwa pamoja kumuombea apate unafuu.
Kutokana na unyeti mkubwa wa kazi yake tunaomba Mamlaka husika ziendeshe uchunguzi mapema.
HR wa Igunga amevamiwa na kukatwa mapanga.
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika.
Tuungane sote Kwa pamoja kumuombea apate unafuu.
Kutokana na unyeti mkubwa wa kazi yake tunaomba Mamlaka husika ziendeshe uchunguzi mapema.