Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Acha roho mbaya haitakufaa kitu !Tumuombee kwanini? Kila mtu apambane na halo yake
Toka yule jamaa karudi kutoka Canada matukio haya yamekua mengi sana
Kamera ya Ulinzi za huko kwenu zinazuia Panga la Muuaji kutua shingoni ?Hapo nyumbani kwake hamna kamera za ulinzi?
😁😁Hapo nyumbani kwake hamna kamera za ulinzi?
MTaa wako kuna kamera za ulinzi ngapi bossHapo nyumbani kwake hamna kamera za ulinzi?
Nimeweka nyumbani kwangu pekee hizo camera, mambo ya kuweka mitaani siyajuiMTaa wako kuna kamera za ulinzi ngapi boss
Safi sana .hongeraNimeweka nyumbani kwangu pekee hizo camera, mambo ya kuweka mitaani siyajui
Wewe ulistahili ulichokipata.[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi jamaa walini time...wakaniwekea maudambwi kwenye kiti...nilikuaga mtumishi mzuri sana....nikajikuta naichukia Kazi...kisha nikasepa.....nikafukuzwa na Kazi. Akili zikaja baada ya 7 years....nikaanza kushangaa how I left the job.
Dah huko ma halmashauri sio poa kabisa!!!
So huyo wa Igunga...huenda ikawa ni wivu, chuki, fitina,
Au mapenzi?
Note:- kwangu ilikua ni kuhudumia watu bure bila kupokea 10% , jamaa wa Idarani wakaanza kumind.
Na pia, nilikua napiga Kazi kwà Bidii sana mpaka weekends....wakuu wa IDARA zote wakawa wananipenda sana mpaka Mkurugenzi. Nikapewa na kiusafiri cha pikipiki...., , Jealous zikazidi. Nikapigwa bonge la juju....daah sio poa yani.