DOKEZO Afisa utumishi, PSSF wachezea mfumo na kumstaafisha mtumishi kabla ya muda, alilipwa Milioni 72, akapokea Milioni 2 tu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mimi uncle wangu aliyekuwa Afisa Mwandamizi EAC walimtengenezea cheti feki cha kifo na wakakomba mafao yake na pensheni zote 100%.
a models kama za akina Makonda zisiishe nchi hii, zitakuja na kutoweka na kurudi tena na kutoweka tena na kurudi...
Matukio kama haya ndiyo yanayozalisha madikteta kwenye nchi.

Akipatikana rais dikteta na muuaji na ikatokea amewadhibiti majambazi kama hawa lazima ataungwa mkono na mamia ya wananchi bila kujali madhara ya udikteta wake.
 
Wazee wanakopa ovyo wakiwa na miaka 50!!

Baadhi ya taasisi kama platinum, Bayport nk zinakukopesha hata kama umebakiza wiki kustaafu.

Ukustaaf wanakumbania upate mtonyo wako fasta ili wapite nayo chapu, kama songesha tu.
 
Hivi kwanini tusiwe na sheria kali ili watu kama hawa wapelekwe uwanja wa mpira wapigwe risasi hadharani mbele za watu AU tuwapige kwa mawe hadi wafe kwa mateso makali na Mola atupe msaada wa wakuwatupa JEHENAM
 
Matukio kama haya ndiyo yanayozalisha madikteta kwenye nchi.

Akipatikana rais dikteta na muuaji na ikatokea amewadhibiti majambazi kama hawa lazima ataungwa mkono na mamia ya wananchi bila kujali madhara ya udikteta wake.
Mkuu nipeni hii inchi mimi japo kwa mwezi mmoja tu, nitanyonga haya mashetani kiasi kwamba hatainuka tena shetani mwingine ndani ya miaka 50!
 
Aisee pole zake sana mzee wetu.! Hii nchi imejaa watu wenye laana sana kila kona ni uozo wizi tu.! Hamna hata mwenye nafuu
 


Wakati mwingine unaona aibu kuwa M Tanzania.
 
Kama hakuchukua afungue kesi adai mahakamani.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
kuna watu ni wa kuwachinja. ningewawinda na kuwachinja kama kuku hao mbuzi
 
Kama hakuchukua afungue kesi adai mahakamani.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Lissu mwenyewe anaiogopa Mahakama ya Tz atakuwa uncle wangu!?

Mimi nimeshinda kesi moja hivi ya kazi hadi Mahakama Kuu lakini huu ni mwaka wa 12 baada ya hukumu sijapewa haki yangu.

Nimefuatilia hivi karibuni naambiwa umri wa shauri umepevuka hivyo faili ni mfu. Kwishney.
 
Noma sana !
 
Sijaelewa, navyofahamu mm mpaka ulipwe kuna alot of documentations, sasa huyo afisa alipataje hizo ocuments.
 
Nadhani kuna haja ya watanzania kuweza kujiongeza hasa kwenye taarifa hizi
Sijaelewa kitu kimoja
PSSSF wamelipa 72m
Imeingia kwenye account ya mwanachama
(Hapa ndo ilikuwa mwisho wa psssf)
Sasa bank amekatwa 70m lawama zinaenda psssf kivipi
Clarify!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…