Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji7]Magari binafsi ya maafisa ubalozi pia yanapewa diplomatic no ili watambulike kirahisi na kutopewa usumbufu, hivyo uwezekano mkubwa ni gari yake binafsi. Huwezi endesha gari ya serikali kutoka Botswana hadi Tz kwa ajili ya inshu binafsi.