Afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Botswana anaonekana mitaani na mahakamani mkoani Kilimanjaro akizurura na gari la Ubalozi!

Magari binafsi ya maafisa ubalozi pia yanapewa diplomatic no ili watambulike kirahisi na kutopewa usumbufu, hivyo uwezekano mkubwa ni gari yake binafsi. Huwezi endesha gari ya serikali kutoka Botswana hadi Tz kwa ajili ya inshu binafsi.
[emoji7]
 
Makamba yupi ampe uhamisho.? Huyu huyu ajulikanaye? Hawezi
 
Ok
 
We umejuaje? Si kila gari lenye namba za ubalozi ni la serikali hata watumishi binafsi hupewa hizo namba! Punguzeni chuki waja
Sidhani hata hivyo, kama huwa kuna ubalozi wa Tanzania nchini Botswana ( l stand to be corrected)..labda kama umea
Mkuu mtoa hoja,pls weka nyama kwenye mada yako hii muhimu, je Tanzania tuna ofisi ya ubalozi pale Gabbs?,sio tunawakilishwa na Balozi wetu pale Umoja House, Arcadia??ninakusikiliza mkuu ufafanue hapa
 
Kuna mawili....kama sio wivu ni fitnah
 
Anatumia gari la serikali ya Tanzania lililopo ubalozi wetu nchini Botswana kuja nalo Tanzania kuxurura nalo na kuhudhuria mahakamani , kesi binafsi!!
Una chuki nae??🙂manake ina kuuma weee as if hiyo serikali ni ya maana sana.
 
Ndege Ulaya=Ndege zilizotengenezwa na watu weupe.Yaani hizo Qatar Airways, British airways n.k
Mwache huyo,hajui pia kua kuna Ndege za Africa 'Ndege Ungo"
 
Hivi gari mpya na ya kisasa kabisa ya Comrade Masud Kipanyer iliishia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…