XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Chuma 3 sio kiume kaka [emoji23][emoji23]Kweli Kafa kiume chuma Tatu [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuma 3 sio kiume kaka [emoji23][emoji23]Kweli Kafa kiume chuma Tatu [emoji1787]
Mpira upo wazi japo Mazembe kafungwa ila katoa game tough, pia refa kaweka mkono wakeKweli Kafa kiume chuma Tatu [emoji1787]
UPUMBAVU wao tu Makolokolo SC, walishindwa nini kupaki basi baada ya kuongoza goli ugenini kwa dakika zile za lala salama?Simba ipewe heshima yake kupata draw na Al ahly ugenini timu namba moja Africa, mazembe ana chapika na timu namba 4 kwa ubora Africa [emoji23]
Kabisa, Ukicheza na Aliekuzidi, Mpango Mkakati wa Kwanza ni Kuzuia, Kwenye hilo Simba WalifanikiwaSimba ipewe heshima yake kupata draw na Al ahly ugenini timu namba moja Africa, mazembe ana chapika na timu namba 4 kwa ubora Africa [emoji23]
Hujui mpira mkuu, mazembe kaenda akiwa na faida ya goli moja.. huo uwazi unaozungumzia ni kukosa heshima kwa mpinzani hususani akiwa kwake matokeo yake kapigwa nyingi. Tizama namna simba alivyocheza na Ahly lupaso na Cairo completely different.. simba alikubali kuwa underdog cairo na ilibaki kidogo tu Ahly ang'oke hapo hapo kwakeMpira upo wazi japo Mazembe kafungwa ila katoa game tough, pia refa kaweka mkono wake
Pia uelewe TP Mazembe si ile ya miaka minne nyuma, ikiwa Yanga iliifunga nnje ndani 2023, ulitegemea uwe na maajabu yapi?Simba ipewe heshima yake kupata draw na Al ahly ugenini timu namba moja Africa, mazembe ana chapika na timu namba 4 kwa ubora Africa [emoji23]
Hii mazembe ime improve ila walikosa tu heshima kwa kufunguka hovyo kikawarambaPia uelewe TP Mazembe si ile ya miaka minne nyuma, ikiwa Yanga iliifunga nnje ndani 2023, ulitegemea uwe na maajabu yapi?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sawa wewe unae jua mpira niambie kilicho mtoa Simba ilihali alipata nafasi ya kuongoza kwenye mechi zote mbiliHujui mpira mkuu, mazembe kaenda akiwa na faida ya goli moja.. huo uwazi unaozungumzia ni kukosa heshima kwa mpinzani hususani akiwa kwake matokeo yake kapigwa nyingi. Tizama namna simba alivyocheza na Ahly lupaso na Cairo completely different.. simba alikubali kuwa underdog cairo na ilibaki kidogo tu Ahly ang'oke hapo hapo kwake
Ubora wa Al ahly, timu namba moja africa na kama simba angefunguka kama alivyocheza mazembe, angepigwa nyingiSawa wewe unae jua mpira niambie kilicho mtoa Simba ilihali alipata nafasi ya kuongoza kwenye mechi zote mbili
Ushabiki mwingine ni mzigo Mazembe kafungwa ngapi na Simba kafungwa ngapi?Ubora wa Al ahly, timu namba moja africa na kama simba angefunguka kama alivyocheza mazembe, angepigwa nyingi
Ushabiki mwingine ni mzigo Mazembe kafungwa ngapi na Simba kafungwa ngapi?
Mwisho wa siku wote wametoka jibu ni kwamba wote ni vibondeMazembe kafungwa tatu bila Simba alitoa droo moja moja.
Ushabiki mzigo nadhani ni kwa upande wako, simba kafungwa mechi gani na Ahly?Ushabiki mwingine ni mzigo Mazembe kafungwa ngapi na Simba kafungwa ngapi?
Simba Katoka Kikanuni, Tofauti na Hawa Kunguru Wa LubumbashiMwisho wa siku wote wametoka jibu ni kwamba wote ni vibonde
Hamna Mtu humo Mkuu, Achana NaeUshabiki mzigo nadhani ni kwa upande wako, simba kafungwa mechi gani na Ahly?
Hawa ndugu zetu mtihani sanaHamna Mtu humo Mkuu, Achana Nae