Mke wangu ndie kaandika.Azam Sport 2 HD, halafu hayo mambo ya 'jamani' ni ya kike
Halafu acha hizo wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wangu ndie kaandika.Azam Sport 2 HD, halafu hayo mambo ya 'jamani' ni ya kike
Azam 2 HD nawaona tu kina Kiemba wanachambua soka la bongoAzam Sport 2 HD, halafu hayo mambo ya 'jamani' ni ya kike
Mnaangalizia channel gani
Kama upo Tanzania au Afrika kusini kuangalia mechi hii ni mpaka utumie VPNMnaangalizia channel gani
Wewe upo Tanzania gani labda,Mechi ipo Azam Sports 2HDKama upo Tanzania au Afrika kusini kuangalia mechi hii ni mpaka utumie VPN
![]()
Home
The African Football League (AFL) is a prestigious annual continental club football competition that serves as a celebration of football excellence and camaraderie across the African continent. Founded with the vision of enhancing the quality of football in Africa and fostering financial growth...afl.africa
Azam Sports.2HDMnaangalizia channel gani
Kwamba Wote Unawafunga Hawa?Hawa wote vibonde tungepewa mmoja ingekua mzuka sana. Simba tunapakata hawa wachumba sana.
Simba hata angepewa nani droo ingeihusu tu. Msimu wa mashindano ya CAF tokea yaanze hakuna mechi iliyoshinda na mechi ya Asec anaanzia Dar na sare itahusika tena.Hawa wote vibonde tungepewa mmoja ingekua mzuka sana. Simba tunapakata hawa wachumba sana.
Sawa sawaSimba hata angepewa nani droo ingeihusu tu. Msimu wa mashindano ya CAF tokea yaanze hakuna mechi iliyoshinda na mechi ya Asec anaanzia Dar na sare itahusika tena.
Anaweza pata goli hata mojaHii mechi Mazembe atakandwa.
Yap hilo linawezeka Esperence sio wagumu kuruhusu goli.Anaweza pata goli hata moja
Poa poaYap hilo linawezeka Esperence sio wagumu kuruhusu goli.
Imekuwaje?Mazembe mungu awape nini tena
Wamekosa kamba ya wazi sanaImekuwaje?