Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Kabisa lakini pia ilikua n game ya kisasi kama aijasahau hawa jamaa waliwahi kumtoa Mamelody juzi Kati kwenye CAF championsHata Hawa petro sio kwamba ni wabaya ila wanazidiwa tu namna ya utumiaji wa nafasi na michezo Yao ya offside trick inawaua...
Hawapati nafasi ya kucheza kuanzia kwenye robo tatu ya mamelodi ni mwendo wa kung'atiwa meno haswa Tena mwilini hamna Cha kuachia spaces .......
Tuna la kujifunza ha
pa