AFL: Petro de Luanda 0 - 2 Mamelodi Sundowns | 21.10.2023

Ngoja tusubiri lolote linawekana Ila najua mtatolewa hata Kwa hujuma
Hamna hata hujuma
Wanapigwa mchana kweupe ,
Ni jumanne tu hapo makolo wanarudi na sidiria za zawadi ya mwalogo
 
Siangalii mechi ila nahisi ilitakiwa iwe game ya ufunguzi kuliko Ile nage ya Jana
kulikua na sababu nyinhi za kuiweka game ya jana iwe ya ufunguzi,

kumbuka timu za pot 2 zilianzia home, i.e simba, enyimba, mazembe na petros,....

sasa katika hizo timu, ni uwanja gani ungeleta ladha halisi waliyoikusudia caf? wapi kungekua na mwamko mkubwa kuzidi tanzania?......

kusini mwa jangwa la sahara hakuna nchi inatuzidi kwenye amsha amsha ya mpira,..... so ilikua lazima iwe tanzania maana hata sauzi mamelodi haijazaGi uwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…