Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
mkuu unajitambua kweli wewe?Haaa, mbwembwe nyingi halafu yaishia kufungwa 1-0,?? Hovyoooo
Aisee shughuli bado pevu waarabu wameingiza kama timu tano!!! Lakini sio mbaya tutakomaa nao hivyo hivyoBaada ya kupitia kwenye mitandao nimechambua team zilizofuzu kwa kuiangalia uwiano wa matokeo(naweza kua nimekosea so mtanirekebisha)
Mpaka sasa team zilizofuzu ni :
1.YANGA SC - Tanzania.
2.TP MAZEMBE - Congo
3.ETOILE DU SAHEL - Tunisia
4.MADIAMA - Ghana
5 .AL AHLY TRIPOL - Libya
6.MO Bejaia - Algeria
7.FUS Rabat - Morocco
8.Kawkab Marrakech - Morocco
kweli poti.....nami nimo.Meku Deogratius Munishi kanifura_furahisha sana, naomba mwenye namba yake ya M-PESA aiweke hapa jamvini nimtumie shukrani zangu, sitanii kabisa. Natanguliza shukrani kwa ushirikiano wako.
ONYO:
Usijaribu kufanya udanganyifu wa aina yoyote, Cyber Crimes Act, 2015 iko kazini.
mapumziko bado tu?