Africa Confederation Cup: Sagrada vs Yanga at Nelson Mandela Stadium

Meku Deogratius Munishi kanifura_furahisha sana, naomba mwenye namba yake ya M-PESA aiweke hapa jamvini nimtumie shukrani zangu, sitanii kabisa. Natanguliza shukrani kwa ushirikiano wako.

ONYO:
Usijaribu kufanya udanganyifu wa aina yoyote, Cyber Crimes Act, 2015 iko kazini.
 
Aisee shughuli bado pevu waarabu wameingiza kama timu tano!!! Lakini sio mbaya tutakomaa nao hivyo hivyo
 
kweli poti.....nami nimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…