Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
Kamsoko na dida wameishapewa kadi ya Njano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imbombo nywamu43' Mounana 1 - 0 Etoile du Sahel![]()
43' Sagrada Esperanca 1 - 0 Young Africans![]()
huyo mateja atakuwa amezuiwa sababu ya jina lakeView attachment 348757 KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA ESPERANCA KATIKA MJI WA DUNDO NCHINI ANGOLA. MECHI ITACHEZWA SAA 9 KWA ANGOLA NA 11, SAA ZA AFRIKA MASHARIKI.
1. Deogratius Munishi
2. Juma Abdul
3. Oscar Joshua
4. Vicente Bossou
5. Nadir Haroub
6. Mbuyu Twite
7. Simon Msuva
8. Thabani Kamusoko
9. Amisi Tambwe
10. Donald Ngoma
11. Haruna Niyonzima
BENCHI:
1. Ally Mustafa
2. Mwinyi Haji
3. Kelvin Yondani
4. Deus Kaseke
5. Geofrey Mwashiuya
6. Mateo Anthony
7. Paul Nonga
---------------------------------------
Updates :
Esperanca wanaonekana kupania kuwadhulumu waandishi wa habari haki ya kuripoti baada ya kumpokonya kamera mwandishi Musa Mateja kwa madai haruhusiwi kuingia uwanjani wakati timu yao inapambana na Yanga katika mechi ya Kombe la Shirikisho.
Mateja ametolewa nje kwa madai hatakiwi kupiga picha na huo uamuzi umepitishwa na uongozi wa klabu hiyo.
Mwandishi huyo aliambiwa tokea jana kuhusiana na hilo, lakini Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga aliwaeleza kwamba shirikisho la soka la nchi hiyo liliwaambia picha za video pekee ndiyo hawatakiwi kuchukua.
Lakini leo inaonekana mwandishi huyo anaonekana anaweza akaripoti kuhusiana na figisu zao, wametaka aondolewe.
Taarifa zilizoingia hivi punde zinaeleza tayari Sanga yuko eneo la tukio, pia kuna mwandishi wa Mwanaspoti, Gift Macha naye amezuiwa kuingia kama ilivyo kwa Mateja.
Nywamu fijoImbombo nywamu
Chura anacheza cheza chura.. Chura anaruka ruka churaa.. Naimba tu jamani msinielewe vibaya
Unataka [emoji16] [emoji16] [emoji16] kutukanwa
Lol.....