Ingekuwa ni wa Msimbazi au Jangwani hiyo kashfa asingekwepa.
Bye, tunaonana Libya 2017 Mungu akipenda, Shukrani nyingi kwa Equatorial Guinnea kwa kuokoa mashindano.
Mi nina wasiwasi yule kipa kapokea mlungula.
Masuke uwe na huruma kidogo..hiki kizazi cha Ivory Coast kingeisha bila kubeba hili kombe ingekuwa jambo la kusikitisha sana kwenye historia zao, namuonea huruma Drogba pia.
Atleast vijana wa Ghana bado wana muda wa kurudia tena.
Na wale wa Msimbazi na Jangwani hawaaminiki, hata buku hamsini wanauza mechi.
Umenikumbusha mbali..Hawa Ivory Coast ni uzembe wao wenyewe 2006 na 2012 ilikuwa halali yao kabisa hasa 2012 maana Zambia haikuwa timu nzuri sana, Nakumbuka 2006 tuko hall four, chumbani tulikuwa watu kama kumi hivi, karibu watu wote walikuwa Ivory Coast isipokuwa mimi na Ras tukaamua kuwashabikia Misri na mwishoni sisi wawili ndo tukafurahi.
Labda Ivory Coast hawana bahati na majina ya Didier maana Didier Drogba na Didier Zokora wamestaafu halafu jamaa ndo wakaja kubeba. Hongera zao sana na leo bahati ilikuwa kwao, unakumbuka zile mbili zilizogonga mwamba?
Bye, tunaonana Libya 2017 Mungu akipenda, Shukrani nyingi kwa Equatorial Guinnea kwa kuokoa mashindano.
Yule si kipa wa kucheza mashindano yale, nashangaa kwanin kocha hakumpanga dauda huenda angebahatisha kudokonyoa moja. Razack ameimaliza Ghana.
Ha ha ha ha!! Wa kukurupukaNi nderemo na vifijo kwa wachezaji na mashabiki wa timu ya taifa la Ivory Coast baada ya kufanikiwa kuibwaga timu ya taifa la Ghana kwa mikwaju ya penati 9-8, ni usiku huu ambao unamfanya golikipa wa Ghana kuibuka shujaa, amepangua penati na amefunga
Hakika hawa ni madikteta wa soka. Tangu nabarehe naisikia mizee hii tu, sijui mtangulizi wa Sepp blatel Joao Avalenge naye alikuwa hivi hivi.