Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Kuna marefa kutoka Tanzania waliopata nafasi?...
Kama vile wazinzi hawataingia mbinguni kwa hofu ya kuwabaka malaika; vivyo hivyo hakuna mwamuzi kutoka TZ anayechezesha AFCON kwa hofu ya kuuza mechi maana wanapenda sana rushwa.
Mkuu makoye matale, huu ukweli wako utakuponza usije ukang'olewa meno ndugu!!!
Dk ya 15, zambia 1-0 congo drc
Mkuu Tresor Mputu yupo?au amestaafu yule Fundi?...
Dk ya 45 zambia 1-0 congo drc
Dk ya 45 zambia 1-0 congo drc
Wakongolizi wamesawazisha
Mbona huu uzi umepooza sana au watu wapo kule kwenye uzi wa vpl wa jana hawa jamaa zetu wa kule Bunju!!!! leteni mambo ya afcon achaneni na hawa waigiza wa bongo, hawa wacongo man wamecharuka sasa.Asante kwa taarifa, endelea kutiririka. Wakongo hatari wamewalokotesha ku nyavu!
Mbona huu uzi umepooza sana au watu wapo kule kwenye uzi wa vpl wa jana hawa jamaa zetu wa kule Bunju!!!! leteni mambo ya afcon achaneni na hawa waigiza wa bongo, hawa wacongo man wamecharuka sasa.