Africa Cup of Nations (AFCON) 2017, Special thread

Africa Cup of Nations (AFCON) 2017, Special thread

Karibuni,
Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya AFCON 2017, Njooni tusemezane, Matokeo, news, n.k

Groups of AFCON 2017
GROUP A:

Gabon, Burkina Faso, Cameroon, Guinea-Bissau

Group B:
Algeria, Tunisia, Senegal, Zimbabwe

Group C:
Ivory Coast, DR Congo, Morocco, Togo

Group D:
Ghana, Mali, Egypt, Uganda

Ratiba ya michuano hii:
Jan 14: Gabon vs Guinea-Bissau, Burkina Faso vs Cameroon

Jan 15: Algeria vs Zimbabwe, Tunisia vs Senegal

Jan 16: Ivory Coast vs Togo, DR Congo vs Morocco

Jan 17: Ghana vs Uganda, Mali vs Egypt

Jan 18: Gabon vs Burkina Faso, Cameroon vs Guniea-Bissau

Jan 19: Algeria vs Tunisia, Senegal vs Zimbabwe

Jan 20: Ivory Coast vs DR Congo, Morocco vs Togo

Jan 21: Ghana vs Mali, Egypt vs Uganda

Jan 22: Cameroon vs Gabon, Gunieau-Bissau vs Burkina Faso.

Jan 23: Senegal vs Algeria, Zimbabwe vs Tunisia

Jan 24: Morocco vs Ivory Coast, Togo vs DR Congo

Jan 25: Egypt vs Ghana, Uganda vs Mali

Quarter-finals: January 28, 29.

Semi-finals: February 1, 2.

Third place play-off: February 4

Final: February 5.

Mbarikiwe!


Tengeneza Jedwali la Matokeo maana wengine humu ndio sehemu ya kupatia Taarifa hizi.
 
Mane analeta ujinga badala ya kuachia timu itolewe mapema ye anakaza, hajui anaigharimu liver
 
Ivory Coast XI vs Togo: Gbohouo; Aurier, Bailly, Kanon, A.Traoré; Serey Dié, Seri, Kessiè; Zaha, Kodjia, Kalou.

Togo XI vs. Ivory Coast: Agassa; Gakpé, Romao, Ouro, Djené; Dossevi, F.Ayité, Atakora, Bebou; Laba, Adebayor.
 
[HASHTAG]#AFCON2017[/HASHTAG] – Result: DR Congo 1-0 Morocco #SSFootball#
 
Nashindano ya africa tayari yameanza mleta uzi update zipo wapi?
 
Uganda Cranes
8aeed65306db4d244cc65c1ee7fc5423.jpg
 
Ghana XI Vs Uganda: Brimah, Afful, Rahman, Boye, Amartey, Wakaso, Partey, Atsu, A. Ayew, J. Ayew & Gyan. UgandaCranes StartingXI Against Ghana : Onyango Denis, Iguma Dennis ,Ochaya, Isaac Isinde, Wasswa Hassan, Tonny Mawejje, Baba Kizito,Azira mike, Miya Farouk , Luwaga Kizito, Geoffrey Massa.
 
game ya uganda ilikua juu. hata ukiangalia position ilikua 50/50 waliwamudi vizuri sana Ghana na walitengeneza nafasi nyingi sema ndio hivo mwisho wa siku mpira magoli
 
game ya uganda ilikua juu. hata ukiangalia position ilikua 50/50 waliwamudi vizuri sana Ghana na walitengeneza nafasi nyingi sema ndio hivo mwisho wa siku mpira magoli
Kwa jinsi nilivyowaona Uganda kwakweli tunajidanganya tu kwenye lile kundi LA kufuzu 2019. Na jinsi Michu anavyotufahamu labda atimuliwe.
 
Kwa jinsi nilivyowaona Uganda kwakweli tunajidanganya tu kwenye lile kundi LA kufuzu 2019. Na jinsi Michu anavyotufahamu labda atimuliwe.
Hata akitimuliwa michu Uganda kwa sasa hatuwawezi
 
Tayari Zimbabwe kapewa mbili ni mlima mrefu kwao ila tungeweza kuwa na walau robo ya uwezo wa Zimbabwe katika soka sijui ingekuwaje !
 
Back
Top Bottom