Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
team egypt since 2008Morocco,Tunisia,egypt natumai zitaleta wonders
Hapo Natamani liende kwa mafarao
Mkuu morocco leo watawatoa na kubeba kombe kabisaautabiri wangu unakaribia mwarabu wa misri anachukua kombe swiss me
Pole Africa hatuna budi kusubiri kwa waarabu na Africa magharibi au kaskaziniTimu yangu ilikuwa uganda
Kama ulijua umeyosema ndio yametokea leomkuu gui waarabu wote yaani misri,tunisia,algeria,morocco pamoja na sudan wanaujua mpira kiukweli LAKINI hawa misri wanamipango mingi sana nje ya uwanja na ndani ya uwanja kwamba wanajua sasahivi adui amepanic au amezirahi nikurudishe miaka ya nyuma kidogo zamaleki walikuja dar kucheza na majimaji yaani kuanzia dakika ya kwanza majimaji wametawala mpira lakini maajabu ya mpira tulifungwa goli tatu nilisikitika sana angalia hata mechi zao zote yaani wao wanatafuta kosa lenu tu ngoja tuangalie usiku
Kombe haliwezi kuchukuliwa na magaidiSafi, kombe ni lako Egypt ila usituangushe aise.tumekumis sana
Kombe haliwezi kuchukuliwa na magaidi
Pole sana.....!!!Kombe haliwezi kuchukuliwa na magaidi
Mmh....Kombe haliwezi kuchukuliwa na magaidi
Mi siumwi pole ya nini? Magaidi wanapondwapondwa na TrumpPole sana.....!!!