BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Hapa tunaongelea mpira..sasa la ugaidi sijui limekujaje tena, naona mada tunaihamishia kwenye ugaidi😀ndio maana soka letu haliendelei.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mohamed Aboutreka mchezani mahiri wa Egypt anatautwa kwa kosa la ugaidiHapa tunaongelea mpira..sasa la ugaidi sijui limekujaje tena, naona mada tunaihamishia kwenye ugaidi😀ndio maana soka letu haliendelei.
Sawa kbs !! sasa kama mgaidi ? ilikuwajee mliwashirikisha ktk michiano.. na iwejee muwe na ubalozi zao??! na vipi mnatumia Lugha zao?? jee ni wapi DT amemgusa au kumponda au kuvurumisha kombora kwa hao ..?!!Mi siumwi pole ya nini? Magaidi wanapondwapondwa na Trump
Fainali haijafahamika tu mpaka mida hii ni nani anaenda kumpa ndoo misri?
Mohamed Aboutreka mchezani mahiri wa Egypt anatautwa kwa kosa la ugaidi
Mkuu hii kasi walioanza nayo cameroon unaionaje lakini?Sioni kama kuna wakuwazuia Mafarao kubeba hii ndoo,lets wait n see anything can happen...
Binafsi Ningeshauri tu kitim cha Ghana na kitim cha cameroon waungane waunde kikosi kimoja wakaenda kucheza na Mafarao angalau wafike hata matuta tu na hilo kama litawezekana😀😀
Weupe watachukua ndoo, hapa naona weusi kila mmoja anatafuta soko kwa mawakala, yani one man showHawa Wakameruni maarifa kidogo kuliko nguvu