Africa Cup of Nations (AFCON) 2017, Special thread

Africa Cup of Nations (AFCON) 2017, Special thread

Naona kama Michuano hii Siku za karibuni imepoteza Mvuto Sijui shida nini Caf wafanyefanye mambo ile ladha yake irudi.

Nakumbuka ile Fainali 2000 Nigeria Vs Cameroon muda wa Kawaida tokeo 2-2 Nigeria anakuja kufa kwenye Matuta 3-4 Kanu na Ikpepa wanakosa mikwaju yao ile ndo ilikua Fainali Kwa kweli, Daa hata msosi Sikula manake nlikua team Nigeria ila round hii ntawamiss Nigeria

Baada ya Misri ya Shehata kuanza kubeba Kombe ile ya kulifuatilia ikaisha Mpaka Zambia Anakuja kubeba tena chini ya Kina Mweene,Mayuka,Katongo,Sunzu

Ntawapa Shavu Uganda Msimu huu
Hii michuano kutokuwepo kwa Nigeria imenitoa kwenye mood kabisa.
 
Naona kama Michuano hii Siku za karibuni imepoteza Mvuto Sijui shida nini Caf wafanyefanye mambo ile ladha yake irudi.

Nakumbuka ile Fainali 2000 Nigeria Vs Cameroon muda wa Kawaida tokeo 2-2 Nigeria anakuja kufa kwenye Matuta 3-4 Kanu na Ikpepa wanakosa mikwaju yao ile ndo ilikua Fainali Kwa kweli, Daa hata msosi Sikula manake nlikua team Nigeria ila round hii ntawamiss Nigeria

Baada ya Misri ya Shehata kuanza kubeba Kombe ile ya kulifuatilia ikaisha Mpaka Zambia Anakuja kubeba tena chini ya Kina Mweene,Mayuka,Katongo,Sunzu

Ntawapa Shavu Uganda Msimu huu
Enzi kombe la mataifa ya África ilikua noma. msisimko ulikua mkubwa sana. Enzi zile Senegal wanafanya yao katika platform ya mpira afrika kabla ya kwenda kuwasambaza France wc. enzi hizo ukisikia Nigeria, Cameroon, South Africa kwa mbali, mafarao wa Misri , Ivory Coast na underdogs Zambia ama Burkina besos.....Sasa iliopoanza mara kombe la kila mwaka sijui....kifupi mvuto umepungua.
 
Enzi kombe la mataifa ya África ilikua noma. msisimko ulikua mkubwa sana. Enzi zile Senegal wanafanya yao katika platform ya mpira afrika kabla ya kwenda kuwasambaza France wc. enzi hizo ukisikia Nigeria, Cameroon, South Africa kwa mbali, mafarao wa Misri , Ivory Coast na underdogs Zambia ama Burkina besos.....Sasa iliopoanza mara kombe la kila mwaka sijui....kifupi mvuto umepungua.
Ghana hapo pia
 
Enzi kombe la mataifa ya África ilikua noma. msisimko ulikua mkubwa sana. Enzi zile Senegal wanafanya yao katika platform ya mpira afrika kabla ya kwenda kuwasambaza France wc. enzi hizo ukisikia Nigeria, Cameroon, South Africa kwa mbali, mafarao wa Misri , Ivory Coast na underdogs Zambia ama Burkina besos.....Sasa iliopoanza mara kombe la kila mwaka sijui....kifupi mvuto umepungua.
Siku hizi hii michuano inaanza hadi inafika fainali ndio watu wanajua hivi kumbe kuna AFCON!! tofauti kabisa na kipindi cha akina Fadiga, patrick mboma, henry camara, self diar, eto'o fils, sunday oliseh, finid george, amokach n.k

Yaani hata kabla michuano haijaanza mijadala inatawala kila kona kwamba nani hatachukua ndoo.. Hata vilabu vya ulaya vilikuwa vinaathirika sana kipindi kama hichi kwa kuondokewa na wachezaji wao... Lakin siku hizi hayo yote hayapo. Niambie ni mchazaji yupi anateka media attention kwenye mechi za leo zaidi ya aubameyang!! ?
 
Nawamis naijaaa sana aisee kweny hii afcon
 
Senegal,Egypt,black star ghana I hope mtanifrahisha
 
Ivi Tanzania haiwezi kweli hata kuandaa/kuwa mwenyeji wa African Cup of Nations..............Wizara ya Habari Michezo na Utamaduni, TFF, BMTL na wadau wengine......kuna mkakati wowote wa kujaribu kuomba Tanzania kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Mbeleni ya African Cup of Nation???????
iyo afcon ifanyike mkwakwani, sokoine stadium, kirumba, jamhuri stadium, labda kama kuna ndondo ya afcon ndo itafnyika tz
 
Siku hizi hii michuano inaanza hadi inafika fainali ndio watu wanajua hivi kumbe kuna AFCON!! tofauti kabisa na kipindi cha akina Fadiga, patrick mboma, henry camara, self diar, eto'o fils, sunday oliseh, finid george, amokach n.k

Yaani hata kabla michuano haijaanza mijadala inatawala kila kona kwamba nani hatachukua ndoo.. Hata vilabu vya ulaya vilikuwa vinaathirika sana kipindi kama hichi kwa kuondokewa na wachezaji wao... Lakin siku hizi hayo yote hayapo. Niambie ni mchazaji yupi anateka media attention kwenye mechi za leo zaidi ya aubameyang!! ?
unajua nini....utandawazi umesababisha yote haya.....hao wachezaji wa zamani mara nyingi tulikuwa tunawasikia tu kwenye redio na kuwasoma kwenye magazeti...ndio maana tulikuwa tunajua wana vipaji vya hali ya juu....sasa hivi wakina victor moses tunawaona kila siku wakicheza hata tumeshawazoea tunaona hawana jipya
 
Ivi Tanzania haiwezi kweli hata kuandaa/kuwa mwenyeji wa African Cup of Nations..............Wizara ya Habari Michezo na Utamaduni, TFF, BMTL na wadau wengine......kuna mkakati wowote wa kujaribu kuomba Tanzania kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Mbeleni ya African Cup of Nation???????
Samahani mkuu hapo BMTL unamaanisha nini?
 
Kuna
Ha haaa Akhui hao jamaa uliyowataja walikuwa ni balaa aise, ni moto wakuotea mbali...bila kuwasahau akina Abou trika, mohd shawki, hossam ashour, ma-defender wael gomaa, sayed mouwad n.k...misry bana ilijaaliwa kwa wachezaji....na ndiyo tim niliyokuwa naipenda sana hapa Afrika.....
Kuna lile dubwana..lilikuwa likiingia dakika ya 75...na linatupia kama mawili hivi.2010 ndio mwisho wa hao jamaa..wakati wanamtoa brazil kiwewe.Japo walipigwa 4-3.Vijana walikuwa wanakimbia na Mpira hatari
 
Kuna

Kuna lile dubwana..lilikuwa likiingia dakika ya 75...na linatupia kama mawili hivi.2010 ndio mwisho wa hao jamaa..wakati wanamtoa brazil kiwewe.Japo walipigwa 4-3.Vijana walikuwa wanakimbia na Mpira hatari

Niliicheki bwana hiyo mechi ilikuwa ni balaa, brazil walikimbizwa ile mbaya..hata lile goli la 4 la penalt walipewa tu, haikuwa haki..lakini ngoma ilikuwa 3-3..egypt ilikuwa fire aise, halafu machezaji yanapawa sio mchezo
 
Niliicheki bwana hiyo mechi ilikuwa ni balaa, brazil walikimbizwa ile mbaya..hata lile goli la 4 la penalt walipewa tu, haikuwa haki..lakini ngoma ilikuwa 3-3..egypt ilikuwa fire aise, halafu machezaji yanapawa sio mchezo
Siku hiyo KAKA aliionyesha dunia kwamba nini maana ya kuwa instrumental player unapokuwa na jezi ya timu ya taifa ya brazil, asee aliupiga mwingi sana sijapata kuona tena kwa mbrazil mwingine
 
Afadhali hata hatujafuzu maana kwa mpira mwingi unaopigwa kwenye haya mashindano tungekuwa tunakula 5>...
 
Back
Top Bottom