Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Acheni upuuzi unaondaje total Lockdown kwenye cases 19 tu ?
Yaani watu waache kufanya kazi kwajili ya kujificha kuugua Mafua na Pneumonia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watu waache kufanya kazi kwajili ya kujificha kuugua Mafua na Pneumonia ?
Heri yao Rwanda na Afrika kusini. Bandiko hili linao ukweli kamili.
Pamoja na maonyo yote kama makenge tumeziba masikio.
Muda wa kwenda total lockdown tulikuwa nao viongozi wetu kwa maslahi yao hawakuutumia.
Bandiko lina ukweli wa kuogofya given our ignorance.
Sent using Jamii Forums mobile app