Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm!

Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm!

Acheni upuuzi unaondaje total Lockdown kwenye cases 19 tu ?

Yaani watu waache kufanya kazi kwajili ya kujificha kuugua Mafua na Pneumonia ?
Heri yao Rwanda na Afrika kusini. Bandiko hili linao ukweli kamili.

Pamoja na maonyo yote kama makenge tumeziba masikio.

Muda wa kwenda total lockdown tulikuwa nao viongozi wetu kwa maslahi yao hawakuutumia.

Bandiko lina ukweli wa kuogofya given our ignorance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu wanatamani sana Africa ifikie hali waliyoifikia wao kwenye Janga la corona lakini Mungu alivyowaajabu yupo nasi katika hali zote.

Alitupigania jana, anatupigania leo na atatupigania kesho.

Mungu siyo Athumani (soma Trump)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaambia kila siku humu. Wazungu hawawaonei wivu, ni ujinga wetu tu. Wanawapa ARVs, dawa za cancer, kisukari, BP, mitambo ya CT scan na x-ray, magari ya kubeba wagonjwa, condom, gloves na kila chochote kinachotumika hospitali. Hata vitanda vya kujifungua wanaleta wao leo hii useme wanakutakia shida.

Ndo maana mimi sina mpango wa kusaidia watu. Unawasaidia afu ukipata shida wao hawana msaada, wanakusimanga.
 
Nawaambia kila siku humu. Wazungu hawawaonei wivu, ni ujinga wetu tu. Wanawapa ARVs, dawa za cancer, kisukari, BP, mitambo ya CT scan na x-ray, magari ya kubeba wagonjwa, condom, gloves na kila chochote kinachotumika hospitali. Hata vitanda vya kujifungua wanaleta wao leo hii useme wanakutakia shida.

Ndo maana mimi sina mpango wa kusaidia watu. Unawasaidia afu ukipata shida wao hawana msaada, wanakusimanga.
Hivyo vyote ulivyotaja, huwa wanaleta bure?
 
Kuna kitu hukijui siku ukikijua utarudi usome tena hii comment yangu.
Nawaambia kila siku humu. Wazungu hawawaonei wivu, ni ujinga wetu tu. Wanawapa ARVs, dawa za cancer, kisukari, BP, mitambo ya CT scan na x-ray, magari ya kubeba wagonjwa, condom, gloves na kila chochote kinachotumika hospitali. Hata vitanda vya kujifungua wanaleta wao leo hii useme wanakutakia shida.

Ndo maana mimi sina mpango wa kusaidia watu. Unawasaidia afu ukipata shida wao hawana msaada, wanakusimanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni upuuzi unaondaje total Lockdown kwenye cases 19 tu ?

Yaani watu waache kufanya kazi kwajili ya kujificha kuugua Mafua na Pneumonia ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo nyuzi hamsomi kwa hiyo bahati mbaya mnaendelea kuandika yale yale ambayo yalishaelezwa wazi wazi. Ulibahatika kuona taarifa hizi mwezi mmoja uliopita ulaya na marekani?

Angalia hizi takwimu uone jinsi ndani ya mwezi mmoja hali inavyoweza kuwa mbaya.

Yaani ndani ya mwezi au wiki chache hali inaweza kutoka kwenye makumi hadi makumi elfu


🇮🇹 Italy
February 21 2020 - 21 cases
March 27 2020 - 86,498 cases

🇺🇸 United States
February 21 2020 - 16 cases
March 27 2020 - 100,037 cases

🇫🇷 France
February 26 2020 - 18 cases
March 27 2020 - 32,964 cases

🇩🇪 Germany
February 25 2020 - 18 cases
March 27 2020 - 50,178 cases

🇪🇸 Spain
February 27 2020 - 25 cases
March 27, 2020 - 64,059 cases

🇮🇷 Iran
February 19 2020 - 5 cases
March 27 2020 - 32,332 cases

South Africa 🇿🇦
March 1 2020 - 1 case
March 27 2020 - 1,170 cases

.

Source: Our Leader's stubborness will cost us dearly - JamiiForums
 
Io ya wiki mbili zijazo sio ile ya china au italy io bdo ipo maabara inapikwa kwa ajili.yetu inakuja LATEST VISION Of covid 19 wao wakiwa tayar na chanjo ili wote tuonge lughaa moja

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanasema kuna aina nne za coronavirus sasa ni chaguo letu tu
Kuna watu billion 3 duniani wamefungiwa kutoka nje hao ni zaidi ya watu waliokuwa wanaishi duniani wakati wa vita vya pili


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cases nyingi za Virus Africa ni imported cases.

Trust me hiyo projection haitafikiwa kamwe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanasema Haya pia
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hivyo vyote ulivyotaja, huwa wanaleta bure?
Ni nchi gani ya Afrika ishawahi peleka ARVs, vifaa tiba Marekani. Nchi gani ina shirika la kutoa misaada kwa wazungu.

Unataka kusema USAID na wenzake hujui wanafanya nini. Hata vyoo kuna mda tunajengewa, nchi gani ya Afrika inadhamini ujenzi wa shule au hospitali Ulaya.

Hawaleti bure kwani bajeti hawachangii wao, kila siku misaada kutoka kwa wahisani. Ni sawa na mtu akiwapa wazazi wake fedha wakanunua chakula na kulipa bili. Lakini huyo mtu hajawapa magunia ya mchele.
 
Ni nchi gani ya Afrika ishawahi peleka ARVs, vifaa tiba Marekani. Nchi gani ina shirika la kutoa misaada kwa wazungu.
Unataka kusema USAID na wenzake hujui wanafanya nini. Hata vyoo kuna mda tunajengewa, nchi gani ya Afrika inadhamini ujenzi wa shule au hospitali Ulaya.

Hawaleti bure kwani bajeti hawachangii wao, kila siku misaada kutoka kwa wahisani. Ni sawa na mtu akiwapa wazazi wake fedha wakanunua chakula na kulipa bili. Lakini huyo mtu hajawapa magunia ya mchele.
Brilliant...
 
Ni nchi gani ya Afrika ishawahi peleka ARVs, vifaa tiba Marekani. Nchi gani ina shirika la kutoa misaada kwa wazungu.

Unataka kusema USAID na wenzake hujui wanafanya nini. Hata vyoo kuna mda tunajengewa, nchi gani ya Afrika inadhamini ujenzi wa shule au hospitali Ulaya.

Hawaleti bure kwani bajeti hawachangii wao, kila siku misaada kutoka kwa wahisani. Ni sawa na mtu akiwapa wazazi wake fedha wakanunua chakula na kulipa bili. Lakini huyo mtu hajawapa magunia ya mchele.
Ohoo ulikua na maana hiyo?

Na sio kwamba ulimaanisha hivyo vitu huwa hatulipii hata sent!
 
Ni nchi gani ya Afrika ishawahi peleka ARVs, vifaa tiba Marekani. Nchi gani ina shirika la kutoa misaada kwa wazungu.

Unataka kusema USAID na wenzake hujui wanafanya nini. Hata vyoo kuna mda tunajengewa, nchi gani ya Afrika inadhamini ujenzi wa shule au hospitali Ulaya.

Hawaleti bure kwani bajeti hawachangii wao, kila siku misaada kutoka kwa wahisani. Ni sawa na mtu akiwapa wazazi wake fedha wakanunua chakula na kulipa bili. Lakini huyo mtu hajawapa magunia ya mchele.
Sawa ,ila kumbuka hao wazungu walizoa rasimali zetu za kutosha enzi za ukoloni ukiacha mbali unyonyaji waliofanya hata baada ya ukoloni mfano madini huko DRC na sehemu nyingine kwa hiyo kwangu mimi kutupa misaada siyo kigezo cha kuwachukulia wema kwetu kivile .
 
Nawaambia kila siku humu. Wazungu hawawaonei wivu, ni ujinga wetu tu. Wanawapa ARVs, dawa za cancer, kisukari, BP, mitambo ya CT scan na x-ray, magari ya kubeba wagonjwa, condom, gloves na kila chochote kinachotumika hospitali. Hata vitanda vya kujifungua wanaleta wao leo hii useme wanakutakia shida.

Ndo maana mimi sina mpango wa kusaidia watu. Unawasaidia afu ukipata shida wao hawana msaada, wanakusimanga.

Kwahiyo hao wazungu wanaleta vitu bure?!
Poor mind


Sent using IPhone X
 
Back
Top Bottom