Africa Kusini nchi ngumu

Ok tujifunze kuepuka ujamaa
 
Kwa madiba ulaya na marekani hakuwahitaji watu kama nyie hivi hauwezi kubalance shobo yaani usisikie mtu kazungumza kiswahili ushamdaka huna kazi ya kufanya au
 
Ushazoea maisha ya kelele na shida zako kila mmoja azisikie Kwa kupiga stori bila kujuana, walishavuka huko. Njoo bongo mtoke Kisemvule hadi gerezani kwenye Tata gari nzima mnapiga Stori moja kama limekodishwa vile.
Kwa Africa kuwa mtanzania ni faida sana, kuna feeling fulani hivi ambayo huwezi kuipata nchi nyingine yoyote Africa.
 
Kwa madiba ulaya na marekani hakuwahitaji watu kama nyie hivi hauwezi kubalance shobo yaani usisikie mtu kazungumza kiswahili ushamdaka huna kazi ya kufanya au
Sio ushamba mkuu, mfano unakutana na mtu anaongea lugha yako alafu huyu mtu km vile anauitaji wa kusaidiwa kwenye haya maisha ya utafutaji nawewe unayo uwezo wa kumsanua kwenye fursa fulani, ukimuongelesha ni kosa?
 
Sio ushamba mkuu, mfano unakutana na mtu anaongea lugha yako alafu huyu mtu km vile anauitaji wa kusaidiwa kwenye haya maisha ya utafutaji nawewe unayo uwezo wa kumsanua kwenye fursa fulani, ukimuongelesha ni kosa?
Jifunze ku-balance shobo.
 
Sio ushamba mkuu, mfano unakutana na mtu anaongea lugha yako alafu huyu mtu km vile anauitaji wa kusaidiwa kwenye haya maisha ya utafutaji nawewe unayo uwezo wa kumsanua kwenye fursa fulani, ukimuongelesha ni kosa?
Huna uwezo wa kusaidia mtu wewe mtu yeyote aliepo Kiwanja huna uwezo wa kumsaidia kivyovyote zaidi unatafuta matatizo tu huko Kila mtu kivyake balance shobo Rudi tanzania usaidie omba omba kibao wapo barabarani kama unania ya kusaidia mtu
 
Huna uwezo wa kusaidia mtu wewe mtu yeyote aliepo Kiwanja huna uwezo wa kumsaidia kivyovyote zaidi unatafuta matatizo tu huko Kila mtu kivyake balance shobo Rudi tanzania usaidie omba omba kibao wapo barabarani kama unania ya kusaidia mtu
Msaada sio wa fedha tuu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…