Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha msingi ku avoid kukaa na wabongo wahalifu au wanaofanya dili haramu umpate mtu yuko possitive unaweza kaa miaka hata 20 usiskie hata mkwaruzo wa risais mwilini mwakosasa kwa madiba ni mazingira gani ni maturity kwa kujitafuta hasa ukiwa huna kitu mkuu
Migodini hapana mkuu mimi lengo langu nikiwa SA nipate Chanel ya kwenda nje aidha europe au US so ningependa unisaidie nianzie mji ganiBotswana, migodi mingi ukosi kazi
Nimekupata mkuu...iko hivi mm lengo kuu nikiwa SA nipate mwanya wa kutoboa aidha ulaya au US ndo maana nauliza ivoCha msingi ku avoid kukaa na wabongo wahalifu au wanaofanya dili haramu umpate mtu yuko possitive unaweza kaa miaka hata 20 usiskie hata mkwaruzo wa risais mwilini mwako
Daah! Hiyo noma sasa yaani hakuna kuaminiana kabisa!