Africa ni kubwa mara mbili ya Russia...

Africa ni kubwa mara mbili ya Russia...

fungi6

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
287
Reaction score
266
Unaweza uKabisha mpaka ukafa ila ukweli uwa unabakia kua ukweli siku zote, tokea nipo shuleni tumekua tukitumia hii ramani ya duniA
main-qimg-8e58636e29ee4d7ae810170d8d28ea78.png
ambayo imekua ikituonyesha kua Africa ni ndogo sana kwa Russia ambapo nikaja pata elimu kidogo kua raman ya dunia nzima uwa ina chora kwa kutumia 2 dimensio of sphere (nazani nimeeleweka) ukiaangalia iyo raman imechora kwa kutumia 2 dimension representation of sphere ambayo ni sawa na 3 dimensional ambapo kwenye kona za picha iyo lazima upana uongezeke na siio kati kati

Basi bana juzi kati nikiwa napita pita mitandaoni nikakutana na link ambayo nitaitoa apa ikionyesha true size of countrie nitaambatanisha na picha ambazo nimefanyia comparison kati ya Africa na baadhi ya nchi zifwatazo

Na ndipo apo nikaona kua kumbe russia ni ndogo kwa africa.
main-qimg-4296e89c5bc4947884f05b5a86bd726e.png


Ajabu kushangaza kabisa kumbe pia Africa ni kubwa sana kuliko marekani🤒 ikiwa ivi.
main-qimg-9bc3e1d392a4c6ab46746014456c68f2.png
wabishi amkosekani najua jf ila..

Ata mbishe mpaka mtoke mate ukweli mwingine usio pingika ki sayansia ni kua Africa ni kubwa pia zaidi ya GREENLAND😣
main-qimg-44b9f8bce20171d84c6dba695f774539.png

Ni ajabu ila
MUNGU IBARIKI AFRICA NA WATU WAKE 😉

Kwa wale wanao penda jua size za nchi nyingine na upana wa mraba unaweza tembelea i link ujifunze upana wa miraba wa nchi tofauti tofauti duniani😋

SOURCE: Compare Countries With This Simple Tool
 
Nasikitika umejua Leo kitu ambacho ulitakiwa kufaham miaka 20 iliopita
Africa 32m km square
Russia 17m km square
USA 6m km square
Canada
China
Sudan(kusin +Kaskzn)
Brazil
India
Algeria
Australia
DRC
Ndo maana jf ikawa ili tujifunze na kufunza wengine maana kwenye raman africa ni nddogo kwa russia
 
Africa ingekuwa na code of unity, ingeweza kutawala dunia kwa ukubwa wake.
umesema kweli mkuu umoja hatuna na hii dhambi imetutafuna toka miaka, kuna siku nimesikiliza barua ya dk david livingstone ikisomwa anadai alipofika tabora alikuta watu wa hapo tabora wanawachukua watumwa wenzao walioachwa njiani na mzungu kwa sababu ya kua dhaifu kutokana labda na njaa au maradhi na kwenda kuwauza tena kwa mzungu😂
 
Kwani haiwezekani nchi fulani ku kubwa kuliko bara fulani,russia na europe ipi kubwa au russia na bara la america kusini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna link niliweka unaweza cheki mkuu maana confusion nliyo pata ndo iyo nikafwatilia nione imekuaje ile nchi inakua kubwa ivyo kkwenye ramani kumbe ni dimension tu ili kufix vyema
 
Kuna link niliweka unaweza cheki mkuu maana confusion nliyo pata ndo iyo nikafwatilia nione imekuaje ile nchi inakua kubwa ivyo kkwenye ramani kumbe ni dimension tu ili kufix vyema
Kwa ufupi tu russia ni kubwa kuliko europe na ukijumlisha na australia kama siyo zitakua zina lingana.

Je, USSR ilikua na ukubwa gani tena kipindi hicho ikiwa ndani yake kuna nchi kubwa kuliko zote europe kwa sasa yani ukraine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom