Mkuu..it is looking as an interesting story hebu ifunguliepo ka uzi angalau ili tujue mengi zaidi ya hao jamaa, inaonekana una mengi zaidi ya kutusimulia....Nilishaletewa na room mate mke wake akidai ni dada yake.... huwa hawana wivu kabisa mbele ya pesa. Aidha kumtoa mke wake kafara kama kumbebesha madawa hawajambo hawa watu!
Huwa nawahurumia mabinti akina wambura ati nana mchumba mnijeria!!!! Uzi achana naoMkuu..it is looking as an interesting story hebu ifunguliepo ka uzi angalau ili tujue mengi zaidi ya hao jamaa, inaonekana una mengi zaidi ya kutusimulia....
Kwahiyo mkuu ulivoletewa ulimgegedua huyo manzi...!?Huwa nawahurumia mabinti akina wambura ati nana mchumba mnijeria!!!! Uzi achana nao
Wanaijua pesa sana awa watu.lakini kweli mke sio ishu kubwa sana utaoa mwingine tuu maana wapo wengi.Nilishaletewa na room mate mke wake akidai ni dada yake.... huwa hawana wivu kabisa mbele ya pesa. Aidha kumtoa mke wake kafara kama kumbebesha madawa hawajambo hawa watu!
Hahahahahahaha we jamaaaSasa pombe unaanzaje kuifananisha na mambo ya kijinga?
Mkuu kwanza huku kwetu born towns wanaona Norma kula ugali wa mhogo, Tembea Dar uhesabu restaurants inazoweza kupata ugali huo, Kijiji cha Makumbusho wanapika lakini ni mpaka apate order na unachukua mudaSasa hapo ndio tunaona nani alikuwa na maarifa yakuendeleza tamaduni zao Au zile za mkoloni. .....West walisimama Imara kushikilia Tamaduni zao ikiwepo mavazi, chakula, lugha na dini pia....
wa East tukaona ni vyema kuiga kila kitu....matokea yake ndio hayo. .....
Staple food ya East/South Africa zinafanana sana.... Wakati West hawaingiliani kila mtu na msosi wake. ....
Usingizi unakuhusu hapa si kwakuchapia hivi. ..ila nimekuelewaMkuu kwanza huku kwetu born towns wanaomba Norma kula ugali wa mhogo, Rembrandt Dar uhwsabu restaurants inazoweza kupata ugali huo, Kijiji cha Makumbusho wanapika lakini ni mpaka apate order na unachukua muda
UbarikiweHatupangiani maisha mkuu kama amependa ni kutaka kila la kheri
Mke wangu na michepuko ipo jfKwahiyo mkuu ulivoletewa ulimgegedua huyo manzi...!?
Hahaha,,,haya bana...Mke wangu na michepuko ipo jf
Nyama ya ulimi ni dawa ya moyo.I miss you babe
Naona hili limekustua sana hahahahKwa hiyo ulikuwa unagida wake za watu?