Africa was not ready for 2010 world cup

Africa was not ready for 2010 world cup

Gaijin:

Kumbuka "mtoto wa mwenzio ni mwanao", pia timu ya kutoka Afrika hata kama si nchi yako bado ni timu ya waafrika wote.
Hili halipingiki. Remember Africa we have a different culture when it comes to familiy ties etc.

Tusifikiri kizungu na kuamua mambo ya waafrika.

Timu za Rugby na Cricket za Sauz ni world class!Wameanza kuwa na waafrika.
Naamini hata mpira wa Sauz usiwe wa blacks ,uwe wa rangi zote.
Naona weusi hatuko professional ,tunapenda ubishoo wa nywele tu kwenye spoti,rasta,kusuka etc.
Mwafrika ukisuka nywele unataka attention!
 
ni kweli kabisa ulichosema,si mpira tu hata mambo yetu binafsi hatuwezi kuyafanya kama watu wa mabara mengine!
Tunashindwa kusimamia hata rasili mali tulizonazo ili tupate faida na tuendelee ki uchumi! madini yetu wanafaidi, hata ardhi yetu pia achilia mbali nafasi za biashara!
WAAFRIKA MPAKA LINI TUBADILIKE?
inasikitisha sana

Nimependa hii, watu wengi hawajui kila kitu unachofanya lazima kinagusa Nguvu za uchumi, Siasa na Mambo ya kijamii. Vitu hivi vikiwa vibovu basi usitegemee good results - na hii ndiyo results tulizopata kombe la dunia. nchi nyingi za africa zina matatizo sana katika uongozi wa mpira wa miguu. vyama vya soka vya kiafrica vinakuwa na mikono ya kisiasa, maamuzi mengi ni ya kisiasa zaidi kuliko kiufundi, tatizo hili ndiyo adui wa kwanza wa soka.
 
Gaijin:

Kumbuka "mtoto wa mwenzio ni mwanao", pia timu ya kutoka Afrika hata kama si nchi yako bado ni timu ya waafrika wote.
Hili halipingiki. Remember Africa we have a different culture when it comes to familiy ties etc.

Tusifikiri kizungu na kuamua mambo ya waafrika.

Good comment Jafar. Nimependa hii --- inawezekana ukafikiri kizungu then maamuzi yakawa ya kiafrica?
 
Back
Top Bottom