Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hawa watu wanapotea kabisa, waliobaki ni wazee wakiwa wanahesabu siku zao tu, lakini wamefanya makubwa mno hasa kwenye upande wa uandishi wenye kufikirisha na fasihi ya ndani mno, maandiko yao yamesaidia sana kuleta ukombozi barani Afrika, lakini pia kuwasaidia waafrika kujielewa na kujitambua hasa wakati wa ukoloni na baada ya uhuru. maandiko yak leo hii yamejaa kwenye vyuo vingi maarufu duniani
kwa sisi tuliobahatika kusoma wakati ule, ambapo mfumo wetu wa elimu ulikuwa haujaparaganyika tulifaidi sana sasa
leo basi ikiwa ni njia mojawapo ya kuwaenzi hebu tujikumbuke baadhj ya vitabu vyao ambavyo vilihit, kuna vya kiada na kuna vya ziada bila kusahau pia riwaya, nitaanza kwa kutaja baadhi ongezea utakavyokumbuka
CHINUA ACHEBE
-Things fall apart
_No longer at easy
-Okonkwo nk nk
J.K nyerere
Shaaban roberts
Ngugi wa Thiongo
Joram kiango
na wengineo wengi wengi wengi, wameitangaza Afika wakaiweka kwenye ramani ya dunia
karibuni
kwa sisi tuliobahatika kusoma wakati ule, ambapo mfumo wetu wa elimu ulikuwa haujaparaganyika tulifaidi sana sasa
leo basi ikiwa ni njia mojawapo ya kuwaenzi hebu tujikumbuke baadhj ya vitabu vyao ambavyo vilihit, kuna vya kiada na kuna vya ziada bila kusahau pia riwaya, nitaanza kwa kutaja baadhi ongezea utakavyokumbuka
CHINUA ACHEBE
-Things fall apart
_No longer at easy
-Okonkwo nk nk
J.K nyerere
Shaaban roberts
Ngugi wa Thiongo
Joram kiango
na wengineo wengi wengi wengi, wameitangaza Afika wakaiweka kwenye ramani ya dunia
karibuni