Nimekupa rekodi zote hata kombe la dunia pia nimeandika, usisahau kuwa sisi hapa tunaongelea kombe la Africa sio la dunia.
Eti wamisri wanafanya uhuni uwanjani, Uhuni gani bwana wee!! kwani hakuna marefarii uwanjani ? marefarii wanajua kanuni za mchezo kuliko mimi na wewe.
sasa wewe unafikiri kuwa timu zingine hazitaki kushinda katika kombe la Africa zinataka kushiriki kwenye world cup tu?
Brother usitudanganye.
acha ukabila ndugu yangu hii sio vita hii ni Sports.
Timu elio shinda ipe haki yake hata kama hauipendi.
Nadhani wewe ungekuwa Refarii wa mechi hiyo baina ya E.Coast na Egypt ungewapa wamisri red card timu nzima.