Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupa rekodi zote hata kombe la dunia pia nimeandika, usisahau kuwa sisi hapa tunaongelea kombe la Africa sio la dunia.
Eti wamisri wanafanya uhuni uwanjani, Uhuni gani bwana wee!! kwani hakuna marefarii uwanjani ? marefarii wanajua kanuni za mchezo kuliko mimi na wewe.
sasa wewe unafikiri kuwa timu zingine hazitaki kushinda katika kombe la Africa zinataka kushiriki kwenye world cup tu?
Brother usitudanganye.
acha ukabila ndugu yangu hii sio vita hii ni Sports.
Timu elio shinda ipe haki yake hata kama hauipendi.
Nadhani wewe ungekuwa Refarii wa mechi hiyo baina ya E.Coast na Egypt ungewapa wamisri red card timu nzima.
Waheshimiwa vipi matokeo maendeleo ya mechi ya Cameroon na Misri, sioni hapa!
Mpira unaanza 1800 CET, so bado kama masaa matatu!
30 min Gone No Goals Yet!
naam ni milango migumu ila cameroun wamezidiwa kinoma, wanakibarua si kidogo ili kushinda.
wanashambuliwa kama mvua
Najaribu kufikiria Stars wangeenda huko! Sipati picha walahi
sasa mpira nusu uwanja wanashambulia cameroun kama nyuki ila inaonesha cameroun wameroga maana bao halifunguki