African Development Bank yaidhinisha mkopo wa zaidi ya trilioni 1.4 kujenga reli itakayounganisha Burundi na Tanzania

Leo kwa mara ya kwanza umeandika ukweli.
Leo au mara zote Huwa naandika ukweli?

Toka Mwendazake anaanza ujenzi Mimi ndio nilipinga Sgr hii sana tuu Kwa sababu timeline yake sio nzuri,ilitakiwa tuanze na babrabara na miundombinu mingine ya kuchochea uchumi ndio reli zifuate.

Reli zinahitaji uchumi ambao uko tayari ila sio kusubiria itakuwa ni hasara,reli hazina kawaida ya kuchagiza economic activities kama Barabara,umeme na Kilimo.

Shida ni kwamba reli zitakamilika ila Cha kubeba hakuna zitaishia ku underperform.
 
Mimi nina matumaini.
Naamini tumefikia ukingoni mwa ndoto hii mbaya ya CCM. Tutaanza ukurasa mpya; hata kama itakuwa ni chini ya CCM iliyojibadilisha; siyo hii iliyo chini ya huyu mama.

Siioni CCM hii ikidumu hata kidogo.
Huyo mama Yako amefanya nini labda? Ndio alianzisha hii road map ya kujenga reli?
 
Imekaa poa
 
Rwanda haina mahusiano mazuri na congo ,hasa upande wa magharibi mwa ziwa kivu,na majinbo ya kivu,Goma! Ambapo hakuna usalama na Kuna makundi mengi ya waasi yenye siraha Kali
 
Rwanda haina mahusiano mazuri na congo ,hasa upande wa magharibi mwa ziwa kivu,na majinbo ya kivu,Goma! Ambapo hakuna usalama na Kuna makundi mengi ya waasi yenye siraha Kali
Ni kweli mkuu 'julguy' kuhusu uliyo andika hapa, lakini hiyo kamwe haiwezi kuwa sababu ya kuzuia ujenzi wa reli kuelekea huko.
Hiyo reli hajengewi Kagame, ambaye muda wake ni mchache sana kuwepo hapa duniani.

Natumaini utanielewa maana yangu kuu ninayolenga kuifikisha kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…