[emoji23][emoji23] mhasibuOKWIBOBANSUNZU atakuwa hapa mda si mrefu bila shaka.
Ndio hivyo mkuu... tukubali tuReal Madrid na Barcelona zinazotajwa kuwa na mashabiki wengi ndio timu ambazo kwenye social media zinaongoza kwa idadi kubwa ya followers.
Lakini hiki chanzo chako kimekuja kuonesha tofauti kuwa Club inayoongoza kwa idadi kubwa ya followers ndio timu ndogo kabisa kwa idadi ya mashabiki dhidi ya timu yenye followers wachache.
Chanzo chako hakijaeleza kimetumia formula gani kupata hiyo idadi ya mashabiki kwasababu katika hali ya uhalisia ukasema utoe takwimu nje ya followers basi inabidi ifanyike sensa ya mtaa kwa mtaa.
Labda watuambie hiyo sensa ilifanyika lini na kwanini mtaani kwetu hawajapita?
Yaaah mkuu hakuna namna....zaidi ya kuikubali tuMimi ni yanga ila huu ni ujinga tu kama ujinga mwingine
Mi sio mtu wa kukubali kirahisi bila reasons ndio maana nipo Simba
Hujajib hoja yake mana huna akili za kujibu labda usaidiwe na majini,
Poleni sana makolowizadi aka robo robo fc. Huku kwenye nbc nako tumewapiga gape ya 10.Real Madrid na Barcelona zinazotajwa kuwa na mashabiki wengi ndio timu ambazo kwenye social media zinaongoza kwa idadi kubwa ya followers.
Lakini hiki chanzo chako kimekuja kuonesha tofauti kuwa Club inayoongoza kwa idadi kubwa ya followers ndio timu ndogo kabisa kwa idadi ya mashabiki dhidi ya timu yenye followers wachache.
Chanzo chako hakijaeleza kimetumia formula gani kupata hiyo idadi ya mashabiki kwasababu katika hali ya uhalisia ukasema utoe takwimu nje ya followers basi inabidi ifanyike sensa ya mtaa kwa mtaa.
Labda watuambie hiyo sensa ilifanyika lini na kwanini mtaani kwetu hawajapita?
Research heavyweight imefanyika hapaMajini yamewasaidia kufika hapo
Japo takwimu za mchongo.
Yanga ni another level...mzeeMmehesabu na majini buku ya mayele??
Lakini Mzee rage si alisema huko ...ni Mbu Mbu mbuMi sio mtu wa kukubali kirahisi bila reasons ndio maana nipo Simba
Wewe ukiyekubali unaweza kutuambia criteria zilizotumika?
Hizi takwimu sijatoa Mimi mkuuHujajib hoja yake mana huna akili za kujibu labda usaidiwe na majini,
Iweje timu yenye followers wengi kwenye social networks kubwa iwe ya mwisho..
Ushabiki maandazi. Simba itakuepo milele daima utakufa utaiacha , and you will carry your hate to your grave.
Wametumia kigezo gani?[emoji599] TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA
Al ahly.............70million fans
Young Africans..35million fans
Zamalek.......... 30 million fans
Laizer chief .......16million fans
Asec mimosa......15milion fans
Asante kotoko.....10 million fans
Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app