African Football League zamani Africa Super League kuanzia Dar es Salaam Oktoba 20, 2023

African Football League zamani Africa Super League kuanzia Dar es Salaam Oktoba 20, 2023

Ole wao umeme ukatike
20230709_114842.jpg
 
CAF wenyewe wameona michuano tangu Yanga afike hatua ile wakaona ni kama the whole tournament has been cursed.

Yanga wamekuja na nuksi ambayo CAF imewalazimu wabadili sheria.

Ni kweli walikuwa na mpango mzuri wa kuwapa waliofeli nafasi ya kusawazisha makosa yao, ila hawakutegemea nafasi hiyo ishikwe na loser wa kiwango cha mwisho kabisa ambaye rekodi yake ya afadhali unaiona miaka 30 nyuma.

Walitegemea wakubwa kwa wakubwa wakizidiana mbinu basi play off ya Confederation ndio itakuwa second chance.

Sasa walivyoona access hiyo imeenda kwa timu mbovu imewabidi wabadili sheria.
Mkuu utatobolewa macho.ohoooo
 
CAF wenyewe wameona michuano tangu Yanga afike hatua ile wakaona ni kama the whole tournament has been cursed.

Yanga wamekuja na nuksi ambayo CAF imewalazimu wabadili sheria.

Ni kweli walikuwa na mpango mzuri wa kuwapa waliofeli nafasi ya kusawazisha makosa yao, ila hawakutegemea nafasi hiyo ishikwe na loser wa kiwango cha mwisho kabisa ambaye rekodi yake ya afadhali unaiona miaka 30 nyuma.

Walitegemea wakubwa kwa wakubwa wakizidiana mbinu basi play off ya Confederation ndio itakuwa second chance.

Sasa walivyoona access hiyo imeenda kwa timu mbovu imewabidi wabadili sheria.
Maneno fc
Al ahly , raja , Mazembe na wengine 4 walichukua kombe la shirikisho baada ya kutolewa caf champions league
 
CAF watajutia kuipa Simba nafasi au kama lengo lao ni kuifanya nchi yetu iaibike Kwa Simba kufungwa mechi zote Ili timu zao ziheshimike zaidi basi sawa!

Hawa Simba vibonde wa ligi ya Klabu bingwa Africa watatutia aibu sana!

Mechi ya Ufunguzi Lupaso imejaa mbumbumbu fc fans Al Ahly 5 - Simba 0!

Yanga imefika fainali Shirikisho Africa na kuifanya Dunia ijivunie soka la Tanzania CAF hawawezi kuijumuisha wanajua Yanga ya makombe ni hatari.

Kwenye msafara wa Mamba kenge Huwa hawakosi nao huwa wamo wanasindikiza mabosi kwa kubeba mabegi na viatu vya mamba!

hapo Kuna timu imewekewa vibonde kama Simba Ili ibebe kombe na kukuzwa jina, weka Yanga uone kazi kombe lingebaki bongo!

Yanga Kuna wachezaji ukiwataza nyuso zao unaona jinsi wanakamia ushindi uje Kwa lazima Musonda, Kibwana, Moloko, Mayele, Bacca na Mudathir! Simba wachezaji wote goigoi hakuna mwenye mzuka wa ushindi labda kidooogo Saidoo!
 
CAF watajutia kuipa Simba nafasi au kama lengo lao ni kuifanya nchi yetu iaibike Kwa Simba kufungwa mechi zote Ili timu zao ziheshimike zaidi basi sawa!

Hawa Simba vibonde wa ligi ya Klabu bingwa Africa watatutia aibu sana!

Mechi ya Ufunguzi Lupaso imejaa mbumbumbu fc fans Al Ahly 5 - Simba 0!

Yanga imefika fainali Shirikisho Africa na kuifanya Dunia ijivunie soka la Tanzania CAF hawawezi kuijumuisha wanajua Yanga ya makombe ni hatari.

Kwenye msafara wa Mamba kenge Huwa hawakosi nao huwa wamo wanasindikiza mabosi kwa kubeba mabegi na viatu vya mamba!

hapo Kuna timu imewekewa vibonde kama Simba Ili ibebe kombe na kukuzwa jina, weka Yanga uone kazi kombe lingebaki bongo!

Yanga Kuna wachezaji ukiwataza nyuso zao unaona jinsi wanakamia ushindi uje Kwa lazima Musonda, Kibwana, Moloko, Mayele, Bacca na Mudathir! Simba wachezaji wote goigoi hakuna mwenye mzuka wa ushindi labda kidooogo Saidoo!
Supercup nafasi zake zipo wazi kwa kila timu yenye uwezo. Mpira siyo maneno
Mlipewa nafasi, mkakimbilia shirikisho na matokeo yake mnaona kama Simba amependelewa. Nani aliwatuma mcheze mechi mbili champion league?
Champion league itaanza tena, mjilegeze tena muende shirikisho. Watu wanakaza mpaka mwisho, nyie mnajilegeza. Washindi wa pili, wanacheza champion league mpaka supercup halafu washindi wa kwanza wanacheza loosers' cup. Hii kweli ni utopolo FC.
Mtu wa pili anaonekana ana uwezo zaidi kuliko wa kwanza. Hatari sana
 
Back
Top Bottom