African leader taken ill, admitted to city hospital

Huwezi amimi kuna kundi kubwa la wakenya Wajinga huko twita hadi leo wanaamini Brt buses zilitengenezwa Kenya,
Yaani mazuzu tupu hata kureason hayawezi kuona level ya zile Buses wakadhani Kenya ina capacity ya kuzalisha full automated buses kama Golden Dragon [emoji3][emoji3]
 
Yaani tiuache vitu vya maana tuanze kujibu KOT!? Seriously?
Daily Nation imekuwa KOT? Tena umesahau Tundu Lissu katibiwa hii Nairobi Hospital? I'm sure he made friends here. Na hizi habari zimevuja toka kwake! Time will tell!Yetu macho.
 
..labda Magu kaenda kumuuguza Raila Odinga.

..unajua Raila na Magu ni kama ndugu wa familia moja.
 
Stop engaging me on the basis of your ignorance. Stick to Kiswahili please.

Treatment - medical care given to a patient for an illness or injury.

HIV has no cure.
Diabetes has no cure.

99% of these patients have no pain to manage.
Because you don't know that management of symptoms, which is what happens in this case, is part of pain management.
 
Wew nae ni mpumbavu acha kutuabisha

Ulichoambiwa ni kweli,

Acha kuendelea kuexpose ujinga wako
Na wewe una upumbavu huo huo wa kutojua tofauti ya treatment na management of symptoms.
 
..labda Magu kaenda kumuuguza Raila Odinga.

..unajua Raila na Magu ni kama ndugu wa familia moja.
Urafiki wao ushakufa kitambo tu,tangu kipindi kile Magu alivyokacha kikao cha EAC then Raila akasema kwny media Magu ajitokeze na apokee simu za wakuu wenzake.
 
Sheikh Alhad Na Kundi Lake
Tangazeni Siku Za Maombi
Kumuombea Mheshimiwa
 
unataka kumuona subiri utamuona,ila usiwapangie watu muda.

kwanza inawezekana hukumchagua.

Yule ni mfanyakazi wa uma wala simpangii muda nataka awepo ofisini ? ivi nyie mna tatizo gani ? yule ni mfanyakazi wetu kajificha wapi siku zote hizo ??
 
Unataka ujue ili iweje?? Itakusaidia Nini..?? Mlipo sema kaenda German kutubiwa mwaka juzi iliwasaidia Nini?? Ukijua itakuongezea kipato..?? Fanya Kazi..

Mkuu mbona unajibu kitoto? raisi ni mfanyakazi wa uma ni haki yangu kujua alipo, nyie jamaa kazi yenu kubwatuka tu hata katiba hamsomi, rais hatakiwi kukosa ofisini na kama anakosa aseme nan anakaimu, msituletee mambo yenu ya sangoma hapa
 
Hawaja sema wanamunuku mtu BBC swahili ina ofisi kubwa Kenya aina haja ya kuuliza mtu alioko Ubiligiji.
 
Hawa jamaa walioandika haya Mungu awarehemu! Hivi kweli ktk choice ya hospital Nairobi hospital ni mojawapo? Hiki ndicho naamini ni uvumi tu! Mungu tunaomba uturehemu sisi watanzania wote kwa ujumla! Mungu tunaomba uiponye nchi yetu Tanzania! Mungu tunaomba umrehemu, umponye na kumtunza rais wetu mpendwa Mh Dr JPM na serikali zetu zote! Mungu azidi kuirehemu, kuiponya nchi yetu Tanzania, amen!
 
Hawaja sema wanamunuku mtu BBC swahili ina ofisi kubwa Kenya aina haja ya kuuliza mtu alioko ubiligiji........

..naomba usome habari nzima utaona kwanini I have my reservations.

..pia BBC wameandika, " Nairobi Hospital also said it could not comment. "

..hiyo response toka kwa Nairobi Hospital ndio inayonipa wasiwasi.

..sasa hivi nasubiri kama Jumapili ataonekana Kanisani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…