Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,345
- 5,718
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vituko tu na ignoranceHehehe yaani hawa!
halafu ukiwaona hivyo, ni wabishi kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vituko tu na ignorance
Wacha mavi alikanyanga shetani mwenyewe [emoji23][emoji23]yani mtu aruke mkojo akanyage mavi?
ngumu kumeza hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]enhee kwa hospital gani apo kwa manyan'gau ?
Magu aki si alikua falaCorona kwenye mbuzi na paipai[emoji19][emoji19][emoji19][emoji20]
Anaruka kwa shetani ju ya kuchomeka na moto.Kama ni kweli yuko hospitalized Nairobi! Hii aibu sijui Magu ataruka vipi hapa East Africa?
It will shows hospital facilities za Tanzania ni mediocre and local Kama nyimbo za Ken Wa Maria. [emoji16]
[emoji23][emoji23]This is nonsense! Yaani mgonjwa wa COVID-19 apelekwe Kenya kutibiwa? Kwa dawa gani waliyonayo hapo? Ulaya kwenyewe hapelekwi!
You were right. Jamaa alipigwa sindano ya sumu [emoji382][emoji382] Nairobi hospital na kutumwa Mzena akakufie huko.Then kuchagua kwenda Kenya kimatibabu wakati Kuna tension Kati ya serikali ya Magu na Kenyatta ni hatari saana. Watamtandika sumu kuvu apumzike kwa amani.
The same na Nyerere alikataa asiende kutibiwa England ila mkapa akang'ang'ania then soon akafa hopsitalini. Nyerere aliona kwamba hawa jamaa niliwanyang'anya nchi haitawezekana wanipende at least nipelekeni China, hakupelekwa China akapelekwa kwa adui yake London, wakamalizana nae mapema tu.
Kumpeleka Magu Kenya wakati aliwachomea vifaranga vyao majuzi tu Ni bad card, hawajasahu wale watampatia sumu kuvu ya mahindi yule.
Huyu alikua Malaya wa maguHuyu malaya kavaa barakoa leo ? kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa wakati ni ukuta ukipigana nao utaumia
Kama ye mama kaamua kuufuata ujinga,unadhani kila mtanzania atafuata ujinga wake....!!!nenda kaangalie ule umati uwanja wa taifa Siku ya mechi ya simba na yanga juzi jumamosi kama kuna mtu kavaa barakoa?!!!..halafu tunam-mind kichizi yaani katuharibia mechi yetu kijingajinga tu simba alikuwa anakufa 3-0 kama game ingechezwa...Mjiongeze kama mama alivyofanya kwenye mkutano wake na wazee wa Dar jana............. Hadi hapo ilipaswa muwe mumejifunza kitu kwamba ujuha na ukaidi hausaidii kitu hata uwe rais.
![]()