African leader taken ill, admitted to city hospital

African leader taken ill, admitted to city hospital

Magu was on life support for more than 5 days


Na cha kushangaza ni kwamba hamkuambiwa chochote. Vyombo vya habari, hasa za Kenya zilizojaribu kulizungumzia hili, walitupiwa maneno makali na hata matusi
 
Na cha kushangaza ni kwamba hamkuambiwa chochote. Vyombo vya habari, hasa za Kenya zilizojaribu kulizungumzia hili, walitupiwa maneno makali na hata matusi
Hata Rais wenu akifa hamtotangaziwa kienyeji tu, mtu akiwekwa kwenye life support machine ni kama yupo hai but unconsciously
 
Utakuta saizi ndio yanasema eti tumuombee marehemu,mtu anaombewa akiwa hai sio mfu,pengine Mungu angesikia sara na toba na kama mkuu alikuwa na madhambi yake angejirekebisha .Ujue maccm yameniudhi na nina hasira kiasi kwamba atokee mtu mbele yangu atetee huu ujuha naweza kumjeruhi.

Next time wakome kabisa na hii tabaia ya kuweka siri za afya na uongozi,haina tija.Ingekuwa wazi kila mtu angeomba kwa sara zake na kama hangeamka ingetosha kusema kazi ya Mungu haina makosa ila sio kumficha tutajuaje kama ni kweli alikuwa anaumwa kama wanavyotuambia? Kiufupi wamepoteza imani kwa umma na kutiliwa shaka kwamba labda wamemdhuru.
Nahisi uchungu wako ila ndo basi. Maji yashamwagika. Kazi ya Mungu haitiwi kasoro
 
Hata Rais wenu akifa hamtotangaziwa kienyeji tu, mtu akiwekwa kwenye life support machine ni kama yupo hai but unconsciously
Moi was ill and the whole country knew about it. The moment he breathed his last, wakenya walijulishwa bila sita sita. Raila odinga was recently diagnosed with Corona and hospitalized and Kenyans were told about it. This doesn't leave beople guessing and hating should the worst happen.

Magu kukwekwa kwenye life support haikuwa sababu ya watanzania kutojulishwa kuhusu hali yake ya afya
 
Moi was ill and the whole country knew about it. The moment he breathed his last, wakenya walijulishwa bila sita sita. Raila odinga was recently diagnosed with Corona and hospitalized and Kenyans were told about it. This doesn't leave beople guessing and hating should the worst happen.

Magu kukwekwa kwenye life support haikuwa sababu ya watanzania kutojulishwa kuhusu hali yake ya afya
Kila nchi ina utaratibu wake wa kutoa habari, sio lazima tufanane sababu sio sheria

Cha msingi ni kila mtu alikuwa anaplay part yake Rais atengamae lakini Mungu kampenda zaidi, pia sio vizuri kuwapa wananchi taharuki sababu hata wakijua Rais mgonjwa hakuna positive impact yoyote upande wa wananchi wala wa mgonjwa.
 
Kila nchi ina utaratibu wake wa kutoa habari, sio lazima tufanane sababu sio sheria

Cha msingi ni kila mtu alikuwa anaplay part yake Rais atengamae lakini Mungu kampenda zaidi, pia sio vizuri kuwapa wananchi taharuki sababu hata wakijua Rais mgonjwa hakuna positive impact yoyote upande wa wananchi wala wa mgonjwa.
There's something called right to information. In Kenya, it is enshrined in the constitution
 
Thats a pilatus pc-12 aircraft, amref has a fleet of 3 cessna ciation jets with a range of over 200nm, zote air ambulance, sasa hio gulf stream yenyu is it fitted with medical equipments ama?
Hakuna chochote kilichomo kwenye any modern air ambulance hakiwezi kuwa mobile

Ipo mobile life support machine
Mobile ventilator

Mobile oxygen inhalants

Magufuli Hawezi panda hiyo mikweche ya amref, naifaham vizuri
 
I thought it's us Kenyans who copy wazungu ............


IMG-20210318-WA0025.jpg
 
It was actually to hide the fact that he was there. That's why Raila's visit was highly publicized. So that people don't ask questions on the increased security at the hospital.
And then the guy gets well within a few days
 
Back
Top Bottom