African Nicki Minaj

African Nicki Minaj

Mimi huyu namkubali sana tu Victoria angekuwa Tanzania angelikuwa msanii mkubwa sana. Tatizo radio za Kenya na media zina ukabila.Tanzania hakuna Radio inayoongea lugha ya kabila fulani hata moja.
Punguza hizi pumba zako na chuki za kibinti binti. Media gani hizo ambazo zina ukabila? Victoria Kimani huwa anaimba kwa kutumia lugha gani? Kwasababu mimi navojua hata radio na Tv zinazorusha matangazo kwa lugha za kiasili huwa zinacheza mziki wa lugha za kiingereza na kiswahili pia.
 
Too bad Kenyans don't support their own. We have talented artists.
Nadhani contract ya Victoria Kimani na Chocolate City ya Nigeria ndio inamfanya asivuke hadi kwenye next level. Huko Nigeria kuna ushindani mkubwa na yeye sio mwenyeji wa Naija na pia Chocolate City haifanyi juhudi za kumpromote E.Africa. Before arudi Kenya alikuwa based in the U.S, wakenya hawamjui vizuri. The talented lady is in limbo.
 
Punguza hizi pumba zako na chuki za kibinti binti. Media gani hizo ambazo zina ukabila? Victoria Kimani huwa anaimba kwa kutumia lugha gani? Kwasababu mimi navojua hata radio na Tv zinazorusha matangazo kwa lugha za kiasili huwa zinacheza mziki wa lugha za kiingereza na kiswahili pia.
Napozungumza jua na evidence😂😂😂👇👇👇
 
Kukosa elimu ni kitu kibaya sana, sasa ni upuuzi gani huo umeniekea hapa juu kama ushahidi kwamba mziki wa Victoria Kimani anabaguliwa kwa sababu za kikabila?
 
Kukosa elimu ni kitu kibaya sana, sasa ni upuuzi gani huo umeniekea hapa juu kama ushahidi kwamba Victoria Kimani anabagaliwa kwa sababu za kikabila?
Muda sio mrefu nakupatia evidence kutoka kwa Nyanshiski😂😂😂👇👇👇👇
 
Kukosa elimu ni kitu kibaya sana, sasa ni upuuzi gani huo umeniekea hapa juu kama ushahidi kwamba mziki wa Victoria Kimani anabaguliwa kwa sababu za kikabila?
I understand that the truth hurts. Pole😂😂😂😂👇👇👇👇👇
 
Leo ni mwendo wa Kenya media😂😂😂😂👇👇👇👇
 
You will tell me when to stop if that evidence is not enough😂😂😂😂
 
Kameme FM is the leading tribal radio. It is owned by Kikuyus😂😂😂😂👇👇👇👇
 
Kameme FM is the leading tribal radio. It is owned by Kikuyus[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji1] [emoji1] basi mkuu hiyo dozi inawatosha. Ila bado watakuja hapa na kubisha.

#DG
 
Back
Top Bottom