Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Wewe ni mcongo👆👆👆Mimi huyu namkubali sana tu👏👏👏 Victoria angekuwa Tanzania angelikuwa msanii mkubwa sana. Tatizo radio za Kenya na media zina ukabila. Tanzania hakuna Radio inayoongea lugha ya kabila fulani hata moja.