African Nicki Minaj

Kaimba wimbo gani, mbona mziki wake ni mbovu sana..
 
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†Mimi huyu namkubali sana tuπŸ‘πŸ‘πŸ‘ Victoria angekuwa Tanzania angelikuwa msanii mkubwa sana. Tatizo radio za Kenya na media zina ukabila. Tanzania hakuna Radio inayoongea lugha ya kabila fulani hata moja.
 
Mimi huyu namkubali sana tu Victoria angekuwa Tanzania angelikuwa msanii mkubwa sana. Tatizo radio za Kenya na media zina ukabila.Tanzania hakuna Radio inayoongea lugha ya kabila fulani hata moja.
Punguza hizi pumba zako na chuki za kibinti binti. Media gani hizo ambazo zina ukabila? Victoria Kimani huwa anaimba kwa kutumia lugha gani? Kwasababu mimi navojua hata radio na Tv zinazorusha matangazo kwa lugha za kiasili huwa zinacheza mziki wa lugha za kiingereza na kiswahili pia.
 
Too bad Kenyans don't support their own. We have talented artists.
Nadhani contract ya Victoria Kimani na Chocolate City ya Nigeria ndio inamfanya asivuke hadi kwenye next level. Huko Nigeria kuna ushindani mkubwa na yeye sio mwenyeji wa Naija na pia Chocolate City haifanyi juhudi za kumpromote E.Africa. Before arudi Kenya alikuwa based in the U.S, wakenya hawamjui vizuri. The talented lady is in limbo.
 
Napozungumza jua na evidenceπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kukosa elimu ni kitu kibaya sana, sasa ni upuuzi gani huo umeniekea hapa juu kama ushahidi kwamba mziki wa Victoria Kimani anabaguliwa kwa sababu za kikabila?
 
Kukosa elimu ni kitu kibaya sana, sasa ni upuuzi gani huo umeniekea hapa juu kama ushahidi kwamba Victoria Kimani anabagaliwa kwa sababu za kikabila?
Muda sio mrefu nakupatia evidence kutoka kwa NyanshiskiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kukosa elimu ni kitu kibaya sana, sasa ni upuuzi gani huo umeniekea hapa juu kama ushahidi kwamba Victoria Kimani anabagaliwa kwa sababu za kikabila?
Twende kaziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Msema kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Hii ni Kenya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kukosa elimu ni kitu kibaya sana, sasa ni upuuzi gani huo umeniekea hapa juu kama ushahidi kwamba mziki wa Victoria Kimani anabaguliwa kwa sababu za kikabila?
I understand that the truth hurts. PoleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Leo ni mwendo wa Kenya mediaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
You will tell me when to stop if that evidence is not enoughπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kameme FM is the leading tribal radio. It is owned by KikuyusπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kameme FM is the leading tribal radio. It is owned by Kikuyus[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji1] [emoji1] basi mkuu hiyo dozi inawatosha. Ila bado watakuja hapa na kubisha.

#DG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…