๐๐๐๐Wakituona kimia wanazani hatuijui Kenya. Nyanshisiki mwenyewe amelalamika kuwa tatizo kuu kwenye mziki wa Kenya nikutokana na media kuwa na ukabila.[emoji1] [emoji1] basi mkuu hiyo dozi inawatosha. Ila bado watakuja hapa na kubisha.
#DG
Kati ya wasanii talented wa Kenya Victoria Kimani siyo miongoni mwao.Too bad Kenyans don't support their own. We have talented artists.
Am not saying she ain't international am just saying she isn't talentedKimani is international, check her song #China love
Because you don't know her
[emoji15][emoji15][emoji15] I tell you. Mad people everywhere! Look at this one.You will tell me when to stop if that evidence is not enough
Ameku-quote Mara ngapi? Nimecheka sana wallahi. Hata ukiangalia nyuzi hizo zingine ni hivyo tu. Ameshindia hiyo kazi leo[emoji15][emoji15][emoji15]Itell you. Mad people everywhere! Look at this one.
i guess talent is a new phenomenon to you , she is hardworking but not talented to be honest.Too bad Kenyans don't support their own. We have talented artists.
Huyu mwanamziki simuelewagi kabisa uzungu mwingi halafu anaimba nonsense ,kwanini asijifunze kwa wenzake akina Vanessa japo naye ni kinara wa kukaa uchi!
Hilo umesema weweSema kiingereza ndo huelewi [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeingia Jf baada ya masaa kadhaa nikapigwa na butwaa. Hahaha! [emoji1] Usijaribu kushindana na mwendawazimu, dish lako pia linaweza likayumba in the process. [emoji23]Ameku-quote Mara ngapi? Nimecheka sana wallahi. Hata ukiangalia nyuzi hizo zingine ni hivyo tu. Ameshindia hiyo kazi leo
Nimeingia Jf baada ya masaa kadhaa nikapigwa na butwaa. Hahaha! [emoji1] Usijaribu kushindana na mwendawazimu, dish lako pia linaweza likayumba in the process. [emoji23]
Inanishangaza sana mnatumia muda mwingi kumtetea sugar mummy wenu Viki kimani!Said a jealous bongolala.
Back to the senderMessage sent and delivered
Janerose mzalendo
Yep China Love ni jam kali. Bila kumsahau international star mwingine pia, dada yetu STL, Stella Mwangi, anashinda tuzo kila uchao kule Europe. Niliipenda sana hii funky jam yake ya zamani kidogo, Ft. Mohambi, I like the way she goes..... inabembea, itabembea wee!Kimani is international, check her song #China love
Unajua Choclate City ya Nigeria, ambayo inarecord nyimbo za Victoria Kimani, imesign wasanii wa sampuli gani? Fanya risechi yako. Sio lazima upendezwe na mziki wake, ila acha wivu wa kike, Victoria Kimani is an international star, very talented. Wewe komalia na ushamba wako kwenye singeli. Check out China Love.Inanishangaza sana mnatumia muda mwingi kumtetea sugar mummy wenu Viki kimani!
Acheni unafiki ninyi wenyewe mnajua huyu Dada anaimba ujinga