African Super League inaanza October

Ukiambiwa timu yako ni kubwa Africa na hapo juu haipo jua kabisa unatapeliwa, unadanganywa, hao ni matapeli, wezi waogope. PUMBAAAV!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kitu nimekiona Motsepe na CAF ni wajanja Sana. Kila la kheri washiriki.
Kitu ganii hebu kisemeee, kuwa waziii acha kujivungaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tetesi ya kwamba kutakua na team 1 itaalokwa ya kuawekezaji? Au kipi??
Hajasema kutakuwa na jina jipya kwa maana ya timu, ni jina la hyo michuano. Utopolo waendelee tu na kombe lao la medali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…