Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Simba imemshinda Zamalek vigezo vipi kwa mfano.Mtaongea yote lakini haiondoi ukweli kwenye vigezo ulivyovitaja mwiko nyuma hampo.Mpo sawa tu na Ihefu na Tabora United.Na ndio hali halisi.Kapokeeni wageni.
Au Raja Casablanca na Simba, kuna kigezo gani Simba imemshinda Raja.