African super league ni bonanza la 1.7bil sio 5 bil as thought

African super league ni bonanza la 1.7bil sio 5 bil as thought

Wanaume wanacheza African League vibinti vinacheza singeli.FIFA wamebainisha kwamba hizi timu 8 ndio vigogo vya mpira wa miguu Afrika halafu vinuka mikojo vinakuja na stori zao za vikao vya kahawa. Prize money ilishatangazwa.Hutaki kanunue kamba kwa Mangi ujitundike au ngojea ligi ya losers huenda ikachezwa baada ya mashindano haya ya wanaume.
Simba iliwekwa kubalance mzani angalao kuwe na timu moja inayotoka afrika mashariki na kati lakini uwezi kusema ni kigogo wakati hajawai kucheza hata semis ya champions league. Kuna timu kama zamalek, raja casablanca n.k hazipo na zimemzidi simba kwa kila kigezo.
 
Simba iliwekwa kubalance mzani angalao kuwe na timu moja inayotoka afrika mashariki na kati lakini uwezi kusema ni kigogo wakati hajawai kucheza hata semis ya champions league. Kuna timu kama zamalek, raja casablanca n.k hazipo na zimemzidi simba kwa kila kigezo.
Kubalance mizani ni wazo lako.Kwa hiyo unakubali kwamba Simba ndio mbabe wa Afrika Mashariki na Kati.Wapenzi wa mwiko nyuma mtaelewa tu.
 
We should all calm down and support Simba . Watuwakilishe vyema .
Super league ni Kama trial . Bonanza la famous African teams . Na 5 billions ni winners money.


A senior FIFA official confirmed to me in private statements that it had been agreed that the prizes for the first edition of the African Football League would not exceed the prizes for the Club World Cup.The awards being agreed upon are as follows:The champion gets $2.5 million, the runner-up gets $2 million, and participation in the Super League gets $700,000

By Mohammed saied
Lakini watafaidika japo kiduchu kusajilo wachezaji, Zawadi na kutambuliwa na CAF & FIFA😀
 
Simba imemshinda Zamalek vigezo vipi kwa mfano.
Au Raja Casablanca na Simba, kuna kigezo gani Simba imemshinda Raja.

Muwe mnasoma basi kuelewa vigezo vinavyotumika.

Hizi smart phone zenu mnatumia kupigia picha tu. Haya hukufuatilia nyuma trh 29 . 8. 2023 Caf wametoa barua nayo hukusoma upate uelewe?

Kukusaidia tu, walitazama vilabu kwa ubora kutoka kila kanda ya Afrika.

Sasa hao raja & zamaleki wapo kanda moja na Wydad na Alhy. Ulitarajia nini kitokee?

Tumia simu yako vizuri… utopolo weee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: Tui
We should all calm down and support Simba . Watuwakilishe vyema .
Super league ni Kama trial . Bonanza la famous African teams . Na 5 billions ni winners money.


A senior FIFA official confirmed to me in private statements that it had been agreed that the prizes for the first edition of the African Football League would not exceed the prizes for the Club World Cup.The awards being agreed upon are as follows:The champion gets $2.5 million, the runner-up gets $2 million, and participation in the Super League gets $700,000

By Mohammed saied
Unaumia eenh. Endelea kuteseka dada
 
Ila utopwix [emoji1787]
Yaan super league (AFL) imekuwa bonanza
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom