Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Simba iliwekwa kubalance mzani angalao kuwe na timu moja inayotoka afrika mashariki na kati lakini uwezi kusema ni kigogo wakati hajawai kucheza hata semis ya champions league. Kuna timu kama zamalek, raja casablanca n.k hazipo na zimemzidi simba kwa kila kigezo.Wanaume wanacheza African League vibinti vinacheza singeli.FIFA wamebainisha kwamba hizi timu 8 ndio vigogo vya mpira wa miguu Afrika halafu vinuka mikojo vinakuja na stori zao za vikao vya kahawa. Prize money ilishatangazwa.Hutaki kanunue kamba kwa Mangi ujitundike au ngojea ligi ya losers huenda ikachezwa baada ya mashindano haya ya wanaume.
Kubalance mizani ni wazo lako.Kwa hiyo unakubali kwamba Simba ndio mbabe wa Afrika Mashariki na Kati.Wapenzi wa mwiko nyuma mtaelewa tu.Simba iliwekwa kubalance mzani angalao kuwe na timu moja inayotoka afrika mashariki na kati lakini uwezi kusema ni kigogo wakati hajawai kucheza hata semis ya champions league. Kuna timu kama zamalek, raja casablanca n.k hazipo na zimemzidi simba kwa kila kigezo.
Tunataka mrejesho wa FIFA kuhusu upangaji wa matokeo wa mechi ya SIMBA na SINGIDA BS.
Lakini watafaidika japo kiduchu kusajilo wachezaji, Zawadi na kutambuliwa na CAF & FIFAšWe should all calm down and support Simba . Watuwakilishe vyema .
Super league ni Kama trial . Bonanza la famous African teams . Na 5 billions ni winners money.
A senior FIFA official confirmed to me in private statements that it had been agreed that the prizes for the first edition of the African Football League would not exceed the prizes for the Club World Cup.The awards being agreed upon are as follows:The champion gets $2.5 million, the runner-up gets $2 million, and participation in the Super League gets $700,000
By Mohammed saied
Simba imemshinda Zamalek vigezo vipi kwa mfano.
Au Raja Casablanca na Simba, kuna kigezo gani Simba imemshinda Raja.
Unaumia eenh. Endelea kuteseka dadaWe should all calm down and support Simba . Watuwakilishe vyema .
Super league ni Kama trial . Bonanza la famous African teams . Na 5 billions ni winners money.
A senior FIFA official confirmed to me in private statements that it had been agreed that the prizes for the first edition of the African Football League would not exceed the prizes for the Club World Cup.The awards being agreed upon are as follows:The champion gets $2.5 million, the runner-up gets $2 million, and participation in the Super League gets $700,000
By Mohammed saied