Africa's 'last great wilderness' in jeopardy as autocratic president plans mega-dam that could bankrupt Tanzania

Africa's 'last great wilderness' in jeopardy as autocratic president plans mega-dam that could bankrupt Tanzania

Kwani Maji yakishazunguza mtambo si yanaendelea kutiririka yanakoenda au hujawai ona jinsi umeme wa Maji unategwa Anko?? Hao hawataki tujenge wana visababu vyao vya kikoloni BT u know wat tz is no longer colonized so tunafanya tunachojisikia.period na hakuna wa kutusimamisha this is our country
Nakubaliana na wewe kuwa tunahitaji umeme. Nilikuwa napenda tuchambue kisayansi huu mradi

1. Wanasema upembuzi yakinifu ulifanyaka miaka 25 iliyopita na huenda uwezo wa mto rufiji kuzalisha umeme umeshapungua kwa 25%
2. Wanasema huenda tukakosa pesa ya kumaliza mradi kwa maana wafadhili wamegoma.
3. Wanasema gharama kubwa ya mradi huenda kukawa hakuna tija mbeleni
4. Wanasema kingo za mto ambapo viboko na mamba hukaa zitapotea
5. Wanasema yale maji yakihifadhiwa katiak bwawa la kuzalisha umeme yatasababisha delta ya mto rufiji kukauka na kusabisha vifo vya mimea na wanyama

Ningependa majibu ya hizi hoja kisayansi
 
During construction of SGR Phase 1 & 2, activists, enviromentalists, conservationists and the general public decried that the project would kill Nairobi National Park and Tsavo National park since the SGR goes through the two parks. Days of brainstorming in a bid to protect the wildlife, it was agreed that pillars that would support the bridge, some as high as 46m would be constructed on the parks and this would not interfere with the free movement of wildlife along the parks. The project continued and our national heritage was protected. These are the benefits of accommodating divergent views and opinions from different stakeholders. Sasa JPM na udikteta wake haezi msikiza mtu...Heri mazingira yasilindwe, heli Wanyama pori wafe...heri misitu ikauke...heri watu laki mbili wanaotegemea Rufiji wakae bila maji, lakini ajenge mradi usiokuwa na manufaa kwa nchi!Bure kabisa
Kiongozi hebu saidia, ungetakiwa kutekeleza mradi wa aina hiyo kwa Nchi kama Tz ungefanyaje?
 
Nawewe umeamini, unajua wazungu wanadhani watanzania wote tuna akili kama hizi zako[emoji16][emoji16][emoji16].

Kwani yakiishazungusha mitambo yanakuwa na sabuni au yanaingia chini??? Yaani kwenye hili wanajaribu kukataa na kutoa sababu zinazofanya tuwatilie mashaka sana.
Hapana. Mimi napenda tujibu hoja kwa hoja.
 
Nawewe umeamini, unajua wazungu wanadhani watanzania wote tuna akili kama hizi zako[emoji16][emoji16][emoji16].

Kwani yakiishazungusha mitambo yanakuwa na sabuni au yanaingia chini??? Yaani kwenye hili wanajaribu kukataa na kutoa sababu zinazofanya tuwatilie mashaka sana.
Hao wajeruman wajinga na wanachookataa tusitengeneze dam hapo, nahisi wanajua tutachimbua madini walificha hapo na zaidi wanahofia kampuni tuliyowapa tender ni Egypt ambao wanajua njia ya kujichukulia hazina zao. Wenye akil watajua
 
Hao wajeruman wajinga na wanachookataa tusitengeneze dam hapo ...nahisi wanajua tutachimbua madini walificha hapo na zaidi wanahofia kampuni tuliyowapa tender ni Egypt ambao wanajua njia ya kujichukulia hazina zao.. Wenye akil watajua
So wanachotaka wazungu ni madini...??

Nimesikia kuwa selous ni hifadhi inayotambulika na Unesco. Na hifadhi duniani zinatotambuliwa na Unesco zote zinalidwa na sheria za kimataifa
 
Hapana. Mimi napenda tujibu hoja kwa hoja.
Hakuna kitu kama hicho, eneo litakalochukuliwa na hilo bwawa halizidi 0.00001% ya mbuga yote.

Labda wangesema mitambo itakuwa inapiga kelele wanyama wanaishi kwa uoga, wangeeleweka.
 
Hao wajeruman wajinga na wanachookataa tusitengeneze dam hapo ...nahisi wanajua tutachimbua madini walificha hapo na zaidi wanahofia kampuni tuliyowapa tender ni Egypt ambao wanajua njia ya kujichukulia hazina zao.. Wenye akil watajua
Inashangaza sana.
 
Nakubaliana na wewe kuwa tunahitaji umeme.Nilikuwa napenda tuchambue kisayansi huu mradi
1. Wanasema upembuzi yakinifu ulifanyaka miaka 25 iliyopita na huenda uwezo wa mto rufiji kuzalisha umeme umeshapungua kwa 25%
2.Wanasema huenda tukakosa pesa ya kumaliza mradi kwa maana wafadhili wamegoma.
3.Wanasema gharama kubwa ya mradi huenda kukawa hakuna tija mbeleni
4.Wanasema kingo za mto ambapo viboko na mamba hukaa zitapotea
5.Wanasema yale maji yakihifadhiwa katiak bwawa la kuzalisha umeme yatasababisha delta ya mto rufiji kukauka na kusabisha vifo vya mimea na wanyama

Ningependa majibu ya hizi hoja kisayansi
Na we umeamini??? Hao wanyama nao wana tabia ka binadamu wanafuataga kwenye malisho na Maji so hata hilo eneo watalojenga dam wanyama wakiona wanakua disturbed watahamia sehemu nyingine... Selous ni kubwa sana so hamna kitachoharibikaa trust mee
 
So wanachotaka wazungu ni madini...??

Nimesikia kuwa selous ni hifadhi inayotambulika na Unesco. Na hifadhi duniani zinatotambuliwa na Unesco zote zinalidwa na sheria za kimataifa
Sheria za kimataifa ma ass ..watanzania kueni na akil hao wazungu hawana authority nchn kwetu ...
HII NI JAMHURI INAJITEGEMEA WATUACHEE TAFADHALI
 
Inashangaza sana.
Halafu wao mbona mapori wameyamaliza! Wamejenga kila sehemu. Zaidi ya 35% ya ardhi ya Tz imehifadhiwa, kwanini watukatalie kutumia hiko kisehemu kidogo. Feasibility study ilifanywa upya hiyo habari ya century iliyopita ni ujinga wa mwandishi.
 
Hakuna kitu kama hicho, eneo litakalochukuliwa na hilo bwawa halizidi 0.00001% ya mbuga yote.

Labda wangesema mitambo itakuwa inapiga kelele wanyama wanaishi kwa uoga, wangeeleweka.
Eneo ni dogo ila maji yote ya mbuga yataelrlekezwa pale.Tatizo wanasema si eneo ni chanzo cha maji cha mbuga.
 
Hakuna kitu kama hicho, eneo litakalochukuliwa na hilo bwawa halizidi 0.00001% ya mbuga yote.
Labda wangesema mitambo itakuwa inapiga kelele wanyama wanaishi kwa uoga, wangeeleweka.
Na si vizuri kupigia wanyama kelele. You know noise pollution is more harmful to animals kuliko watu.Au muwanunulie earplugs
 
Sheria za kimataifa ma ass ..watanzania kueni na akil hao wazungu hawana authority nchn kwetu ...
HII NI JAMHURI INAJITEGEMEA WATUACHEE TAFADHALI
SIO kwamba tulishinikizwa kuridhia sheria za unesco.Tulikubali wenyewe nadhani ni mwaka 1975.
 
Na we umeamini??? Hao wanyama nao wana tabia ka binadamu wanafuataga kwenye malisho na Maji so hata hilo eneo watalojenga dam wanyama wakiona wanakua disturbed watahamia sehemu nyingine... Selous ni kubwa sana so hamna kitachoharibikaa trust mee
Asante kwa majibu mazuri.
 
So wanachotaka wazungu ni madini...??

Nimesikia kuwa selous ni hifadhi inayotambulika na Unesco. Na hifadhi duniani zinatotambuliwa na Unesco zote zinalidwa na sheria za kimataifa
Wazungu utawaweza boss..waulize wana dump wapi waste zao za nuclear....cha pili kwann hata wanatengeneza nuclear...kwa vile Tz imeamua kujenga hydropower ..basi imekuwa kesi...

Cha pili sidhan kama feasibilty study nynge haikufanyika...ni hyo ya miaka 25 iliyopita..hamna kampuni inaweza ikajenga kitu isichojua inajengaje

Cha tatu ..hao wanataka tujenge ya gas ..kwa sababu wao ndo wana mine na kutuuzia Gas...na wanahisa kubwa kuliko sisi..wanataka waendelee kutuuzia gas..tena yetu wenyewe so ..watapinga tu

Cha nne mambo ya kusema hamna demand ya kutosha ..yamepitwa na wakati lazima nchi iwe na reserve za kutosha...angalia kinachowapata South africa sasa hiv ..wnaa mgao wa umeme hatari..kiais kwamba unashusha kasi ya ukuaji wa uchumi kwa asilimia karibia moja
 
Wazungu utawaweza boss..waulize wana dump wapi waste zao za nuclear....cha pili kwann hata wanatengeneza nuclear...kwa vile Tz imeamua kujenga hydropower ..basi imekuwa kesi...

Cha pili sidhan kama feasibilty study nynge haikufanyika...ni hyo ya miaka 25 iliyopita..hamna kampuni inaweza ikajenga kitu isichojua inajengaje

Cha tatu ..hao wanataka tujenge ya gas ..kwa sababu wao ndo wana mine na kutuuzia Gas...na wanahisa kubwa kuliko sisi..wanataka waendelee kutuuzia gas..tena yetu wenyewe so ..watapinga tu

Cha nne mambo ya kusema hamna demand ya kutosha ..yamepitwa na wakati lazima nchi iwe na reserve za kutosha...angalia kinachowapata South africa sasa hiv ..wnaa mgao wa umeme hatari..kiais kwamba unashusha kasi ya ukuaji wa uchumi kwa asilimia karibia moja
Asante kwa hoja nzuri.Huu ni mradi wa matriolioni ya shilingi.Ni vema kujiridhisha kabla.

Je ni kweli kuwa kuna upembuzi yakinifu mpya uliofanyika siku za karibuni?

Je ile gesi tuliyoipata Mtwara imeishia wapi?

Je kuna athari gani za mazingira na wanyama? Ikumbukwe kuwa selous ni preserved habitat.Hifadhi zote zinazo tambulika na Unesco zinalindwa na sheria tulizo ziridhia.

Hoja yao si kuto kuwepo na demand bali ni uwezo wa Mto Rufuji kupungua na hivyo huenda mradi usiwe na tija kuzingatia gharama yake kubwa.
 
Kiasi cha miti kinachokatwa kwa ajili ya mkaa, Kiasi cha fedha kwa ajili ya kulipa umeme wa mabepari hawakisemi? Tumeongeza idadi ya hifadhi za misitu Tanzania nzima .Hawa UNESCO kama wanaweza, watoe pesa kama grant equivalent to planned investment ili zitumike kuzalisha umeme mbadala.
 
Asante kwa hoja nzuri.Huu ni mradi wa matriolioni ya shilingi.Ni vema kujiridhisha kabla.

Je ni kweli kuwa kuna upembuzi yakinifu mpya uliofanyika siku za karibuni?

Je ile gesi tuliyoipata Mtwara imeishia wapi?

Je kuna athari gani za mazingira na wanyama? Ikumbukwe kuwa selous ni preserved habitat.Hifadhi zote zinazo tambulika na Unesco zinalindwa na sheria tulizo ziridhia.

Hoja yao si kuto kuwepo na demand bali ni uwezo wa Mto Rufuji kupungua na hivyo huenda mradi usiwe na tija kuzingatia gharama yake kubwa.
KUMBUKA URAMIUM WALIRUHUSU ICHIMBWE
 
Back
Top Bottom