bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ukitaka kumfanya mtu kuwa masikini ili umtawale mpe pesa.Ukiona mtu anakupa msaada hakupendi na hataki ujitegemee.
Zamani wazee wa kichaga Mtoto akimaliza darasa la Saba anafukuzwa nyumbani kwa kuambiwa mkataba wako umeisha wa kula na kukaa hapa nyumbani, hii ili wapush wachaga wengi kupambana kwa uchungu na maumivu kwa njia yeyeto hadi wakawa juu.
watoto wao walikuja kuelewa wazee wao baada ya kufanikiwa kimaisha.
Misaada ni tools ya kuzidi kumfanya Muafrika atopee kwenye umasikini.
Wazungu wanawasaidia Waafrika kwa kuwapa pesa na misaada si kwamba ni wema sana au wanawapenda sana waafrika bali ili wazidi kuwa masikini zaidi ili waweze kuwatawala.
Siku ulaya itakapo acha kuipa pesa afrika ndipo afrika itakapoanza kuinuka, wanatumiaa misaada kupush ajenda zao za Siri mfano ushoga, nk.
Kwa kanuni za asili pia wanatumiaa misaada ili kuchukua baraka zetu kupitia kanuni ya ukitoa unabarikiwa zaidi.Atoae upata zaidi kuliko anaepokea.
Wanajua kabisa hizi pesa hazitofika chini zitadakwa juu kwa juu na kurudi kufichwa bank za ulaya na mafisadi,then wananchi ndio watabebeshwa mzigo wa madeni hadi waingie kaburini.
Huwezi pata penzi bila pesa so Africa ni sawa na pisikali kwa ulaya thus wanatutongoza kwa pesa ili watucontrol kwa ajili ya kupush ajenda zao Siri na kuwini raslimali zetu.
Zamani wazee wa kichaga Mtoto akimaliza darasa la Saba anafukuzwa nyumbani kwa kuambiwa mkataba wako umeisha wa kula na kukaa hapa nyumbani, hii ili wapush wachaga wengi kupambana kwa uchungu na maumivu kwa njia yeyeto hadi wakawa juu.
watoto wao walikuja kuelewa wazee wao baada ya kufanikiwa kimaisha.
Misaada ni tools ya kuzidi kumfanya Muafrika atopee kwenye umasikini.
Wazungu wanawasaidia Waafrika kwa kuwapa pesa na misaada si kwamba ni wema sana au wanawapenda sana waafrika bali ili wazidi kuwa masikini zaidi ili waweze kuwatawala.
Siku ulaya itakapo acha kuipa pesa afrika ndipo afrika itakapoanza kuinuka, wanatumiaa misaada kupush ajenda zao za Siri mfano ushoga, nk.
Kwa kanuni za asili pia wanatumiaa misaada ili kuchukua baraka zetu kupitia kanuni ya ukitoa unabarikiwa zaidi.Atoae upata zaidi kuliko anaepokea.
Wanajua kabisa hizi pesa hazitofika chini zitadakwa juu kwa juu na kurudi kufichwa bank za ulaya na mafisadi,then wananchi ndio watabebeshwa mzigo wa madeni hadi waingie kaburini.
Huwezi pata penzi bila pesa so Africa ni sawa na pisikali kwa ulaya thus wanatutongoza kwa pesa ili watucontrol kwa ajili ya kupush ajenda zao Siri na kuwini raslimali zetu.