T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Kama lugha inakupiga chenga huwezi ona T. Noah anachekesha nini. Sabinus anabebwa na population kubwa ya Nigeria hivyo ana mashabiki wengi kule, na ni kawaida yenu kitu kikitrend Nigeria mnaona ndio the best hapa AfrikaTravor kinachombeba ni ukaburu basi alichomzidi sabinus ni Rangi tu
Asa travor anachekesha kitu gani ivi umemuangalia sabinus kweli au ndo ulimuana tu kwenye nyimbo ya BUGA
Bora umenena watu wana chuki mnoKuna njugushi,crazy kennar, raazy junior huyu raazy anachipukia na bado anahitaji sapoti ya kununua vifaa ...
Kuna yule wa fate comedy ana kipengele anaota "boyfriend wa Jana" hapo anakuwa kama Vinnie baite kashakula miraa ni uongo mtupu.
Eric omondi anakuwa bora kwa vile ana uthubutu wa kufanya utani na mtu yeyote hata awe raisi au nn ,kiufupi ni comedian anayeenda na wakati japo sio mkali sana.
Huyu jamaa namjua kule Instagram anajiita "Mr funny" ana content za maana Kuna ile anajifanya anapiga picha kumbe kakanyaga hela[emoji23][emoji23][emoji23]vile anacheza na hilo shati lake la [emoji838] hajawai badilisha...
Nikasema ngoja niingie kwenye website Nigeria nitafute top ten best comedians in Africa Ili uache ushamba na ubishi. .Travor kinachombeba ni ukaburu basi alichomzidi sabinus ni Rangi tu
Asa travor anachekesha kitu gani ivi umemuangalia sabinus kweli au ndo ulimuana tu kwenye nyimbo ya BUGA
Krazy kennar ndio best comedian AfricaSabinus siyo mchekeshaji, ni komedian tuu wa mtaani kama akina Dulivani.
Yani huyo jamaa ni sawa na kumlinganisha Eric Omondi na Crazy Kenar.
Huyo jamaa ni mtengeneza social media memes tuu lakini hana uchekeshaji wowote.
Wee jamaa unaanza lugha chafuUsikute humujui wewe na mmeo
Nikimjua mkeo nnaemkula ukisafiri inatosha(Cjui) kama unaandika ivyo lazima usimjue hajuliwi na vilaza
Unajua mzee wangu Huwa akiwaona mzee Onyango na Mwita wakichekesha mzee anacheka Hana mbavu. Sasa mie naona wanazungumza tu😄😄Travor kinachombeba ni ukaburu basi alichomzidi sabinus ni Rangi tu
Asa travor anachekesha kitu gani ivi umemuangalia sabinus kweli au ndo ulimuana tu kwenye nyimbo ya BUGA
Sheikh ubishi na matusi ni kwa ajili ya wajinga usifanye hivyo. Hatuwezi zungumza mambo bila matusi?Nikimjua mkeo nnaemkula ukisafiri inatosha
Ukiona hao akina Dulvan, Crazy Kenar wanakuchekesha basi wewe hujajua tofauti ya comedy na watengeza memes za vichekesho...Krazy kennar ndio best comedian Africa
Mkuu huyu jamaa kaanza kunichafua juu apo ,yey hatak kupingwa juu ya huyo sabinus ambae sisi hatumjuiSheikh ubishi na matusi ni kwa ajili ya wajinga usifanye hivyo. Hatuwezi zungumza mambo bila matusi?
JF mnaiharibu hamna uvumilivu hata kidogo
Stand up commedy ni wachekeshaji halisi.... hawa wa clip wakae kando kwanza...Unajua mzee wangu Huwa akiwaona mzee Onyango na Mwita wakichekesha mzee anacheka Hana mbavu. Sasa mie naona wanazungumza tu😄😄
Ndo ivyo nakuona wewe. Hujui chochote😬
Trevor sio mkaburu nadhani unabathatisha tu kwa kuwa ni mweupe. .
Hata Kuna Anne Kansiime bado Sabinus hampati. Mie namkubali Njugushi wa Kenya kuliko hata huyo Sabinus kwenye commedy bado ndo anaanza labda hapo baadae.
Kwanza Kuna akina
1. Salvador wa Uganda
2. Basket mouth
3. Professor Hammo
Nachoka hata kuandika bado huyo Sabinus Yuko nyuma sana kwenye line. Endelea kubisha ila hujui chochote umeshiba na umeamua kutuchosha. .
Ila kichwa Cha habari umeuliza Kun anayemzidi Sabinus tunakutajia unakata😄
Afu muhuni unajikuta una Id mbili humu unabishana na Baba zako kabisa jichungeSheikh ubishi na matusi ni kwa ajili ya wajinga usifanye hivyo. Hatuwezi zungumza mambo bila matusi?
JF mnaiharibu hamna uvumilivu hata kidogo
Professor Hammo ni kichwa ana ubunifu wa pekee. Ana nafasi ya kufika mbali sana. Akifanya show moja nzuri bongo hapa nilipenda San. Na churchil show anaitendea vyema. .Stand up commedy ni wachekeshaji halisi.... hawa wa clip wakae kando kwanza...
Afuatilie show za church hill akutane na viChaa. kama prof Harmo
Una umri gani aiseee?Afu muhuni unajikuta una Id mbili humu unabishana na Baba zako kabisa jichunge
Mtu mwenye matusi namuona kama kaishiwa hoja. Nachukia kweli. .Mkuu huyu jamaa kaanza kunichafua juu apo ,yey hatak kupingwa juu ya huyo sabinus ambae sisi hatumjui