Kuna njugushi,crazy kennar, raazy junior huyu raazy anachipukia na bado anahitaji sapoti ya kununua vifaa ...
Kuna yule wa fate comedy ana kipengele anaota "boyfriend wa Jana" hapo anakuwa kama Vinnie baite kashakula miraa ni uongo mtupu.
Eric omondi anakuwa bora kwa vile ana uthubutu wa kufanya utani na mtu yeyote hata awe raisi au nn ,kiufupi ni comedian anayeenda na wakati japo sio mkali sana.
Huyu jamaa namjua kule Instagram anajiita "Mr funny" ana content za maana Kuna ile anajifanya anapiga picha kumbe kakanyaga hela[emoji23][emoji23][emoji23]vile anacheza na hilo shati lake la [emoji838] hajawai badilisha...