Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Ile aliyokuja bongo wale jamaa wa cheka tuu wanapiga dk 10 tuu hoi labda mc madevu anajitaid..Professor Hammo ni kichwa ana ubunifu wa pekee. Ana nafasi ya kufika mbali sana. Akifanya show moja nzuri bongo hapa nilipenda San. Na churchil show anaitendea vyema. .
Huyu anaandika tu hawezi wajua true comedian wanableed and sweat commedy. .
mwamba prof Hammo alipiga zaid ya dk 40.. na zote ni fire🤣