Afrika Kusini: Imam Muhsin Hendricks Aanzisha Msikiti kwa ajili ya LGBT Muslims Duniani

Afrika Kusini: Imam Muhsin Hendricks Aanzisha Msikiti kwa ajili ya LGBT Muslims Duniani

Wengi wenu mnamshukuru sana huyo imam kimya kimya maana ndio zenu, mikoa ya pwani huongoza sana kwenye hayo mavitu ya kishoga na huko pwani ndiko mliko wengi maana ndio eneo alianzisha mwarabu na dini yake.
Pwani & Zanzibar.
 
Pwani & Zanzibar.

Mikoani ukitaja mambo ya kishoga unaweza hata ukafa, haya mambo yapo huko huko mwambao wote wa Pwani kuanzia Mombasa ushuke upite Tanga mpaka ufike Pemba.... na huko huko ndiko dini yenyewe imetamalaki...unafiki mwingi dunia hii.
 
Lile kanisa la mashoga la pentekoste Kule Mbeya kumbe nalo liko Zanzibar
Ukisikia watu wanasema mambo ya pwani basi jua ni ushoga huo..ukisikia nenda mombasa utarudi na fuso basi jua kuna biashara ya kufumuliwa malinda..

Sasa hebu tuambie wenye hii ina maana gani?je kuna uhusiano gani kati ya ushoga na watu wa mwambao wa pwani ambao wengi ni wafuasi wa dini mnyaazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Haya mambo sio ya kushabikia aisee. Namuomba Mungu haya mambo nisishuhudie katika cku zangu za uhai kwenye kizaz changu.
 
Tatizo sio kuwepo tu mashoga maana mtu anaweza kuwa shoga na usimjue kama ilivyo mwanamke akawa mzinifu na usimjue kama mzinifu au mwanaume ana michepuko na msijue, tofauti ipo kwenye jamii husika inavyouchukulia ushoga.
Sasa wazungu si tu kwamba wamewapa uhuru mashoga bali pia wanatumia nguvu ushoga uonekane ni jambo la kawaida na hutaka kuzalisha mashoga wengi zaidi.

Sasa mtu akisema sisi waafrika wanafki au waislamu/waarabu wanafki nakuwa namshangaa kwamba alitaka na sisi wengine tufanye kama walivyofanya wazungu au vp?
 
Ukisikia watu wanasema mambo ya pwani basi jua ni ushoga huo..ukisikia nenda mombasa utarudi na fuso basi jua kuna biashara ya kufumuliwa malinda..

Sasa hebu tuambie wenye hii ina maana gani?je kuna uhusiano gani kati ya ushoga na watu wa mwambao wa pwani ambao wengi ni wafuasi wa dini mnyaazi.

#MaendeleoHayanaChama


Hapa Soni kumbe ni Zanzibar au Mombasa ?

Unaandilka Saana mambo ya mashoga kumbe Padri Mzungu alikupa upako

St Michael's Catholic Boarding School, Soni, Tanzania

Fr Kit Cunningham, a prominent United Kingdom member of the Rosminian order, and three other priests, were exposed as paedophiles after Cunningham's death.[18][19][20][21] While at Soni, Cunningham pommitted sexual abuse that made the school, according to one pupil, "a loveless, violent and sad hellhole". Other pupils recall being photographed naked, hauled out of bed at night to have their genitals fondled, and other sexual abuse.[19][20] Although known about by the Rosminians before Cunningham's death in 2010, the abuse was not reported by the media until 2011.[22][23][24][25][26] Formal action was launched by a group of former pupils who filed a civil suit at the civil court in Leicester, UK on 20 March 2013.[27]
 
Ukisikia watu wanasema mambo ya pwani basi jua ni ushoga huo..ukisikia nenda mombasa utarudi na fuso basi jua kuna biashara ya kufumuliwa malinda..

Sasa hebu tuambie wenye hii ina maana gani?je kuna uhusiano gani kati ya ushoga na watu wa mwambao wa pwani ambao wengi ni wafuasi wa dini mnyaazi.

#MaendeleoHayanaChama
Mikoani ukitaja mambo ya kishoga unaweza hata ukafa, haya mambo yapo huko huko mwambao wote wa Pwani kuanzia Mombasa ushuke upite Tanga mpaka ufike Pemba.... na huko huko ndiko dini yenyewe imetamalaki...unafiki mwingi dunia hii.

Mbeya kumbe ni Pwani Na Zanzibar?

 
Mwanadamu huna mamlaka ya kumwadhibu mtenda dhambi kwakuwa hata wewe ni mtenda dhambi pia.
Mwenye mamlaka ni Mungu peke yake.
Umekuja peke yako na utaondoka peke yako tubu na rekebisha maovu yako uokolewe siku yako ya mwisho.

Huyo unayembedha kuwa ni Shoga au mzinzi atatubu na kusamehewa na Mungu wake na kuokoka, wewe utaishia Kuzimu kwa kuwafikiria wenzako badala ya kujifikiria mwenyiwe.
Kuadhibu watenda dhambi ikiwemo kuwaua ni ibada za Shetani kwa karne hizi.
Kwakuwa hawa wewe ni mtenda dhambi pia.
 
baba ake m. anakula shekh ten wa mkoa kuna nini tena hapo
Si ana wake wawili?, bado hawamtoshi?, kwani wao lile tobo la pili si wanalo?: Mini naamini wanaofanya hayo wanakitu zaidi wanachokitafuta - ushirikina unahusika, si bure
 
Mikoani ukitaja mambo ya kishoga unaweza hata ukafa, haya mambo yapo huko huko mwambao wote wa Pwani kuanzia Mombasa ushuke upite Tanga mpaka ufike Pemba.... na huko huko ndiko dini yenyewe imetamalaki...unafiki mwingi dunia hii.
Kama huko Pemba mtt wa kike hataki kutoa **** kisa anailinda bikra ila tako ni ww tuu
 
AN-NISAAI - 15)
Na ambao wanafanya uchafu miongoni mwa wanawake wenu, washuhudizieni watu wane katika nyinyi. Watakapo shuhudia, basi wazuieni majumbani mpaka wafishwe na mauti au Mwenyezi Mungu awatolee njia nyengine.

AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.
 
Wanayafanya sana hawa

CQGBAI5W8AAi4mc.jpg
 
Hapa na kina FaizaFoxy adriz kimsboy lazima waingie mafichoni
Waislamu hakuna mtu ambaye yupo katika central command kama upande mwingine kwani mambo yanafutwa katika kitabu .Ndio maana huyo jamaa Mimi nimemfahamu Leo na hata ukioita nyumba za Waislamu hawamfahamu wala kujua habari zake ila Papa anajulikana worldwide ..
 
Back
Top Bottom